Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

Nenda lodge za uswazi sizikokuwa na ukomo wa idadi ya watu unaoweza kuingiza vyumbani.

Kodi vyumba kumi kwa kutwa nzima, kila chumba elfu 5 (itakuwa 50,000).
Tafuta mademu kumi, kila demu mpe chumba kimoja na elfu 5 ya kula kutwa nzima (itakuwa 50,000). Jumla laki moja capital.

Wapige picha za kimtego, fungua group telegram weka picha zao na bei ya kila mmoja wapo. Unaandika sifa zake na kuwa chumba kipo.

Kila demu unacharge 20,000 per session, wakiingia ndani humo ya ziada inakuwa ya demu, wewe unakunja 20,000. Ukitoa expenses kwa kila chumba (10,000) unafaida ya 10,000. Mara 10 - 100,000 mara siku 7 ni 700,000.

Sasa unafanya huo mzunguko kwa guest tofauti tofauti kwa kutwa moja. Yani unachukua hata guest 5 ambayo ni capital ya laki tano kwa faida ya laki 5.

Ndani ya mwaka ushajenga guest yako mwenyewe. Siku ukikosa wateja unagonga mwenyewe hizo bidhaa zako.
Kudadeki
 
Nikifikiria zaidi kusambaza Mchele sababu najua unapopatikana kwa bei rahisi lakini nikaja kufanya research nikagundua shule nying iwe serikali iwe private inahitaji maharage kwa wing kuliko Mchele wala Unga! Lakini wa hii 2M yangu nilitaka kuomba tenda kwa hizi private school!, kwa Mchele sana sana Ila na doubt! So kwa hizo private ndo sijajua ulipaji wao upoje?
Nimesoma shule private mwaka 2014 tulikua tunakula maharage yaliyobunguliwa, Unga sometimes ulikuwa umeoza
nilipo ingia advance ndo kabsa maharage yale yenye wadudu ndo maana nimetamani hii business, no 2.
Asante kwa mawazo pia
Mazao yana element za uswahili na costing
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu upate Members wa kukupa Mawazo mema hapa japo Wendawazimu hutowakosa.
 
Nenda lodge za uswazi sizikokuwa na ukomo wa idadi ya watu unaoweza kuingiza vyumbani.

Kodi vyumba kumi kwa kutwa nzima, kila chumba elfu 5 (itakuwa 50,000).
Tafuta mademu kumi, kila demu mpe chumba kimoja na elfu 5 ya kula kutwa nzima (itakuwa 50,000). Jumla laki moja capital.

Wapige picha za kimtego, fungua group telegram weka picha zao na bei ya kila mmoja wapo. Unaandika sifa zake na kuwa chumba kipo.

Kila demu unacharge 20,000 per session, wakiingia ndani humo ya ziada inakuwa ya demu, wewe unakunja 20,000. Ukitoa expenses kwa kila chumba (10,000) unafaida ya 10,000. Mara 10 - 100,000 mara siku 7 ni 700,000.

Sasa unafanya huo mzunguko kwa guest tofauti tofauti kwa kutwa moja. Yani unachukua hata guest 5 ambayo ni capital ya laki tano kwa faida ya laki 5.

Ndani ya mwaka ushajenga guest yako mwenyewe. Siku ukikosa wateja unagonga mwenyewe hizo bidhaa zako.
Shikamoo Mkuu bonge la Wazo Kudadadeki........Ngoja nami nizikusanyekusanye tu niende Bukoba ( Kagera ) kuifanya.

Kula Tano Mkuu na nimekukubali kwa Madini yako mazuri Kwake haya ambayo hata Mimi pia nayaibia huku Kimtindo.
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Kama kweli umesomea usimamizi wa biashara. Umeshindwa kufanya viability analysis?

Je ukiuza maji unatarajia kupata net profit kiasi Gani kwa mwezi. Nafaka je na share?

Je eneo ulilopo ni biashara ipi itatoka mwaka mzima na ipi ni seasonal?
Ipi Ina uwezekano wa expansion. Kama hujui achana nazo zote
 
Shikamoo Mkuu bonge la Wazo Kudadadeki........Ngoja nami nizikusanyekusanye tu niende Bukoba ( Kagera ) kuifanya.

Kula Tano Mkuu na nimekukubali kwa Madini yako mazuri Kwake haya ambayo hata Mimi pia nayaibia huku Kimtindo.
Siku ukikosa wateja usisite kunitafuta Mkuu nikumbushie enzi zetu za club silk na ange noir😃😃. Mambo ya nkwata wano, nkwata wano.
 
Nenda lodge za uswazi sizikokuwa na ukomo wa idadi ya watu unaoweza kuingiza vyumbani.

Kodi vyumba kumi kwa kutwa nzima, kila chumba elfu 5 (itakuwa 50,000).
Tafuta mademu kumi, kila demu mpe chumba kimoja na elfu 5 ya kula kutwa nzima (itakuwa 50,000). Jumla laki moja capital.

Wapige picha za kimtego, fungua group telegram weka picha zao na bei ya kila mmoja wapo. Unaandika sifa zake na kuwa chumba kipo.

Kila demu unacharge 20,000 per session, wakiingia ndani humo ya ziada inakuwa ya demu, wewe unakunja 20,000. Ukitoa expenses kwa kila chumba (10,000) unafaida ya 10,000. Mara 10 - 100,000 mara siku 7 ni 700,000.

Sasa unafanya huo mzunguko kwa guest tofauti tofauti kwa kutwa moja. Yani unachukua hata guest 5 ambayo ni capital ya laki tano kwa faida ya laki 5.

Ndani ya mwaka ushajenga guest yako mwenyewe. Siku ukikosa wateja unagonga mwenyewe hizo bidhaa zako.
😂😂😂😂
 
Inayotoka mwaka mzima ni vinywaji tu! Idea ya vinywaji ilkuja Baada ya ndugu yangu mmoja kunisanua kwamba nikitengeneza Jina vZuri naweza nikawa napata tenda za vinywaji kwenye shughuli na sherehe mbalimbali

Mchele ni seasonal mwez wa 4 na hadi wa 7
Sare za shule ni seasonal
 
kwa huo mtaji unaweza ukaanza biashara ya utengenezaji wa vyakula vya kuku kitaalamu( poultry feed manufacturing) , DSM wafugaji wa kuku ni wengi. Ukitengeneza chakula kizuri na bei ikiwa nzuri , utapata wateja. Tafuta flemu weka biashara. Unaweza ukaanza kutengeneza kg 500. Unachanganya na mkono kwa kutumia spade( koleo). Pia umaweza ukafanya biashara ya mafuta ya kupikia hasa alizeti. Unanunua mafuta dodoma unauza Dar. Kwenye kutengeneza vyakula vya kuku ninaweza kukusaidia poultry feed formula za broiler, layers na dual purpose chickens pia nikakupa elimu namna ya utengenezaji wa vyakula vya kuku kitaalamu( nutritional balanced poultry feed). Hivi vitu nitakupa bure kabisa bila gharama yoyote
Mkuu ntakuja inbox unipe hii elimu
 
Ni kweli mkuu I have a lot of ideas nyingine ni kubwa sana kuliko nikifikiria kununua uwanja nijenge ukumbi coz kwetu Geita watu weng huenda sherehe
2.natamani kurudi shule kusoma ufundi wa magari ya umeme maana kiukweli hizi degree zetu ni more theoretical
3.Ni moja ya wadau wanaohusudu teknolojia ya kutumia gesi kwenye bajaji na magari kama mbadala wa fuel lakini mtaji ni more Than 10Million
So natamani nianze na kitu kibiashara kidogo tu maana Sina mpango wa kutembeza bahasha
Hii elimu ya ufundi umeme magari inafundishwa wapi vizuri
Na inachukua MDA gani ku master kila kitu
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Kwani Geita hamli ugali u suply unga wa mahindi? Soft drinks kwa wasukuma hukifanya reseach vizuri
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Biashara ya mabegi ya mgongoni, soksi boxer na chupi za kike
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Biashara ya mabegi ya mgongoni, soksi boxer na chupi za kike
 
Back
Top Bottom