Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
We jamaa ni bonge la businessman. Unafaa kuwa boss wa cartel yangu ninayotaka kuianziasha. Nitakucheki nikishaset kila kitu. Una akili kama Pablo Escobar.Nenda lodge za uswazi sizikokuwa na ukomo wa idadi ya watu unaoweza kuingiza vyumbani.
Kodi vyumba kumi kwa kutwa nzima, kila chumba elfu 5 (itakuwa 50,000).
Tafuta mademu kumi, kila demu mpe chumba kimoja na elfu 5 ya kula kutwa nzima (itakuwa 50,000). Jumla laki moja capital.
Wapige picha za kimtego, fungua group telegram weka picha zao na bei ya kila mmoja wapo. Unaandika sifa zake na kuwa chumba kipo.
Kila demu unacharge 20,000 per session, wakiingia ndani humo ya ziada inakuwa ya demu, wewe unakunja 20,000. Ukitoa expenses kwa kila chumba (10,000) unafaida ya 10,000. Mara 10 - 100,000 mara siku 7 ni 700,000.
Sasa unafanya huo mzunguko kwa guest tofauti tofauti kwa kutwa moja. Yani unachukua hata guest 5 ambayo ni capital ya laki tano kwa faida ya laki 5.
Ndani ya mwaka ushajenga guest yako mwenyewe. Siku ukikosa wateja unagonga mwenyewe hizo bidhaa zako.
El Patron.