PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaHeee nani kafufua hii thread..đź¤
Nimeshapona jaman nafanya mara moja baada ya 3months
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHeee nani kafufua hii thread..đź¤
Nimeshapona jaman nafanya mara moja baada ya 3months
HahahaMm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
DuuhWw c ndo ulisema ni HIV positive unataka uendelee kuua watu
Hahaha duhHuyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
DuuhHuyu demu kaleta Uzi mwingine akisema yuko positive! Kwenye Uzi amekiri amefanya Mara kadhaa bila kinga. HATARI!
Vipi mkuu una umeme!if i could turn back the hands of time...........View attachment 1568375
Eeeh bwana eehHivi unaanzaje kupiga demu uliyekutana nae mtandaoni bila ndom au kupima?
Jf inaweza kuwa kama Badoo Lovoo na Hi5!
Huwa nashangaa sana 'wavulana' wanaoshobokea fake id hizi zenye avatar fake pia! Pole sana Hazard popte ulipo
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe!Doh maskini Hazard
Chukulia Poa tu rafiki
DuuhPole yake huko alipo ila anaweza kwenda kwenye kituo chochote cha afya akapima hii itamsaidia kujua afya yake ipoje akiwa negative atachukua tahadhari ila akiwa positive ajue kuna mbaazi zinamhusu mpaka anaingia kaburini. Maana unaweza shiriki tendo la ndoa na mwanamke ambaye ni positive na usipate kimbembe kinakuja kama huyu Hazard CFC kalala na huyu mwanamke zaidi ya mara moja uwezo wa kuwa ameungua ni 99% hiyo moja amuachie Mungu.
DuuhMkuu Hazard CFC kwema?
Kapona mkuuuShikamoo Jamii Forums!
Muhimu tusisahau tu ya kwamba kuna mgombea fulani wa kiti cha Urais, mpaka muda huu bado pumzi yake imekata! Sijui ni lini atarudi kuendelea na kampeni. Hivyo tumuombee.
3 months ni muda mrefu sana; itamsababisha mwenzio ku-cheat kama uivyokuwa wewe!Heee nani kafufua hii thread..đź¤
Nimeshapona jaman nafanya mara moja baada ya 3months
Umepata dozi kubwa sana,rudi kamwambie dk akuregezee bhana,angalau baada ya siku 3,ujisikie tena,maana hapo uenda we bado mdogo kiumri,ukigonga fifty utajikuta hutaki hata kumuona mwanaume,wakati kuna ke wamezidi fifty lkn wanahamu utadhani vibinti fulani hivi.3 months ni muda mrefu sana; itamsababisha mwenzio ku-cheat kama uivyokuwa wewe!
Hiyo tiba ya kupunguza utakuwa ulizidisha..!
PROBLEM SOLVED..Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Mkuu uwe unasoma vizuri!Umepata dozi kubwa sana,rudi kamwambie dk akuregezee bhana,angalau baada ya siku 3,ujisikie tena,maana hapo uenda we bado mdogo kiumri,ukigonga fifty utajikuta hutaki hata kumuona mwanaume,wakati kuna ke wamezidi fifty lkn wanahamu utadhani vibinti fulani hivi.
Mwamposaa anamhusuHilo ni pepo la ngono nenda ukaombewe