Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipata mke kama huyu hadi raha. Wee ni kudindisha tuu yeye she take overYou have all the signs of being a nymphomaniac.
Wacha achepuke akidhi haja zake mbona sie wanaume tunachepuka kukidhi haja zetu na fantasys zetu ambazo wake hawatimiziHakuna haja yakumuona dk,wala surgery,waweza kuwa kinyume chake tena,ukasaga meno,tulia tu ivyo ivyo na mmeo,jiulize hivi masister huwa wanaishije!!?, mbona wanavumilia, Kwanini we ushindwe,tena una mme,kuna hatari yakuchepuka.
Kwa hiyo ni mashindano ehee,anachotafuta atakipata huko nje,kitaleta vilio nakusaga meno ndani ya nyumba,time will tell.Wacha achepuke akidhi haja zake mbona sie wanaume tunachepuka kukidhi haja zetu na fantasys zetu ambazo wake hawatimizi
Hatutishiki. Kufa kupo pale paleKwa hiyo ni mashindano ehee,anachotafuta atakipata huko nje,kitaleta vilio nakusaga meno ndani ya nyumba,time will tell.
Aayah umeshinda mkuuHatutishiki. Kufa kupo pale pale
Sijashinda haya sio mashindano....ni mtazamo tuu na jinsi navyotaka kuishi maisha yangu.Aayah umeshinda mkuu
Hua ukipata hamu unajisikiajeYaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
It's called Sex Maniac, the most common causes are changes in brain chemistry and brain pathways, unhealthy stress coping, and a history of trauma or sexual trauma.Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Sawa endelea ndugu,ndo chaguo,hakuna wa kukuzuia mkuu,jiamini.Sijashinda haya sio mashindano....ni mtazamo tuu na jinsi navyotaka kuishi maisha yangu.
Kila changuo lina matokeo yake. Mie nimechagua kula mbususu magonjwa ya zinaa ni matokeo yake na nimekubaliana nayo
EhhhYaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
HahahaTafuta vibrator mkuu sa hiii magonjwa ni mengi na dawa zinaenda kuwa adimu
Duuh. Pole sana mwaya.
HahahaKaondoe Kinembe. Yaani kakeketwe.
Hamu zitakuisha.
DuuhHahaha my ex alinikimbia sababu hiyo,tunaweza jifungia ndani anapiga mizinga anikomeshe
Mie napiga show mkavuu jamaa akaona atakufa akanikimbia.
I hate this situation.
HahahaMkuu hata Mimi nina Pepo kama lako nadhani ungekuja inbox tuyajenge.
Sometimes joto langu linafika 70 😄😄
Umesha. LShindwaaa unataka baba P aniue
Umeshamcheat lknShindwaaa unataka baba P aniue