Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Hakuna haja yakumuona dk,wala surgery,waweza kuwa kinyume chake tena,ukasaga meno,tulia tu ivyo ivyo na mmeo,jiulize hivi masister huwa wanaishije!!?, mbona wanavumilia, Kwanini we ushindwe,tena una mme,kuna hatari yakuchepuka.
Wacha achepuke akidhi haja zake mbona sie wanaume tunachepuka kukidhi haja zetu na fantasys zetu ambazo wake hawatimizi
 
Wacha achepuke akidhi haja zake mbona sie wanaume tunachepuka kukidhi haja zetu na fantasys zetu ambazo wake hawatimizi
Kwa hiyo ni mashindano ehee,anachotafuta atakipata huko nje,kitaleta vilio nakusaga meno ndani ya nyumba,time will tell.
 
Aayah umeshinda mkuu
Sijashinda haya sio mashindano....ni mtazamo tuu na jinsi navyotaka kuishi maisha yangu.
Kila changuo lina matokeo yake. Mie nimechagua kula mbususu magonjwa ya zinaa ni matokeo yake na nimekubaliana nayo
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Hua ukipata hamu unajisikiaje
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
It's called Sex Maniac, the most common causes are changes in brain chemistry and brain pathways, unhealthy stress coping, and a history of trauma or sexual trauma.
Pls seek medical/Psychiatric intervention urgently
 
Sijashinda haya sio mashindano....ni mtazamo tuu na jinsi navyotaka kuishi maisha yangu.
Kila changuo lina matokeo yake. Mie nimechagua kula mbususu magonjwa ya zinaa ni matokeo yake na nimekubaliana nayo
Sawa endelea ndugu,ndo chaguo,hakuna wa kukuzuia mkuu,jiamini.
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Ehhh
 
Back
Top Bottom