Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
Hahaha
 
Duuh
 
3 months ni muda mrefu sana; itamsababisha mwenzio ku-cheat kama uivyokuwa wewe!
Hiyo tiba ya kupunguza utakuwa ulizidisha..!
Umepata dozi kubwa sana,rudi kamwambie dk akuregezee bhana,angalau baada ya siku 3,ujisikie tena,maana hapo uenda we bado mdogo kiumri,ukigonga fifty utajikuta hutaki hata kumuona mwanaume,wakati kuna ke wamezidi fifty lkn wanahamu utadhani vibinti fulani hivi.
 
PROBLEM SOLVED..
 
Mkuu uwe unasoma vizuri!
Comment yangu nimeelekeza kwa mtoa mada.
Reaction yako unaelekeza kwangu vipi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…