Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

kabisa !hata salam za wanaume hazimsumbui hata utongozwejee(achana na wale maprosititute)
sasa we usimridhishe mkeo full tafuran hatuliii kbs hata mind yake
Utashangaa tu mtoto anafinywa bila sababu, wanagombezwa gombezwa hovyo kumbe mtu maandasi kibao lkn akikojoa vizuri wee full burudani
 
Ni jini la ngono maombi ni dawa pekee utakuja kunipa kuku nikanywe supu
 
Nimekua na bibi na babu
I missed my parent love
Sinywi pombe
Nakula both natural and junk foods
Inawezekana kukosa malezi ya baba na mama kukawa na uhusiano fulani hapo.

Sisemi kwamba ni sababu, ila kuna uwezekano mkubwa. Hususan ukichanganya na vitu vingine ambavyo viko mahsusi kwako.

Labda subconsciously unatafuta mapenzi uliyokosa kutoka kwa wazazi katika hilo tendo na kila ukitafuta unaona halitoshelezi.
 
Skfull saidia aisee kwanza kajitahidi kuwa mkweli
Yeah, unajua wengi hawajuagi kuwa mwanamke nae huwa katka kipindi kigumu kwa nyege zikipanda, wanaume wengi tuwabinafsi sana tukiwa na hamu tunahonga hata kitanda tulale chini lakin tukisha mwaga wazungu basi hatuwazi tunawaachaje wenzetu, hivyo wanawake wengi hubakia na maumivu wasijue wapi wataponea, mwisho inakuwa ni tatizo la kudumu hadi mwanamke anasema sijawahi ridhishwa kimapenzi jua ameumia vyakutosha, maana sipati picha kwangu tu itokee nipewe papuch halafu sijamwaga wazungu mtu aniambie ametosheka hivyo tuache sitamuelewa kabisa aisee
 
Hahahahaha unajua Mimi Dada Nina kijana mkubwa na binti mkubwa bado kidogo nitaitwa bibi.
Nisijekuwa nagombana na wajukuu huku
Na kweli, humu sasa hivi wajukuu zetu ndio wamejaa.
 
Back
Top Bottom