Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Wewe ni Mwarabu? Maana wanapenda ngono balaa mimi nilikimbia baada ya kuona naelemewa hadi job ukienda ananuna ukirudi tuhujatulia lazima umle mbili ndio anatulia mkisha kula tu uchi unamuwasha anataka mabao tu.


WEW huenda humridhishi huyo mwarabu wako !
amini hili; mwanamke akikojozwa huwa mtulivu wa nafsi kweli kweli !yaan hasumbui mtu !
pole kwa kujianika
 
Unajichua?
Huwa unajikojoza mwenyewe???
Tatizo ndiyo hilo. Mara nyingi ukizoea kujichua utamu wake hata mwanaume akufanye masaa 10 hawezi kukufikisha pale bado utakuwa na hamu tuu.
Rafiki yangu aliwahi kuwa na hili tatizo ila alikuja akaji control na kuacha kujichua sasa hivi anasema akifanywa anaridhika kabisa.
Kama sivyo ... Pole sana dear
Sema ulikuwa ww baadae ukaacha sio vizur unamsingizia rafiki yako.
 
Wakati wengine tunapita miaka mitano hatujafanya mambo ya kugandiana kumbe kuna wengine wanagandiana kama kawaaaaaa.....astakafullah mwehhh!
 
Inatibikaje?

Mtafute sexpert ili iweze kufanyika diagnosis ya kweli na si hii ya humu.

Baada ya hapo unaweza kwenda sex rahab kama itahitajika.

Kuna sex addiction rehab programs nyingi tu na naamini kama kweli tatizo lako ndo hilo basi utapata program itayokufaa.

Ila nasisitiza, tafuta/ nenda kwa mtaalamu wa kweli. Huku JF utaishia kuchanganyikiwa tu maana ‘wataalamu’ ni wengi mno.
 
Nyie mnaojifanya perfect humu nendeni mkawe mashemasi makanisani

Au mjitolee kuwa kama mama Maria mzisaidie jamii na huo uperfect wenu mxiiieww

Nimewaobserve kwenye nyuzi tofauti tofauti sasa endeleeni na hapa.

I have a serious problem
Inanifanys naumwa kichwa kupita kiasi mnakuja kuhororoja hapa.
Waambie!! Kuna watu wanajifanya malaika humu duniani. Mfyuuuuu!
 
Nyie mnaojifanya perfect humu nendeni mkawe mashemasi makanisani

Au mjitolee kuwa kama mama Maria mzisaidie jamii na huo uperfect wenu mxiiieww

Nimewaobserve kwenye nyuzi tofauti tofauti sasa endeleeni na hapa.

I have a serious problem
Inanifanys naumwa kichwa kupita kiasi mnakuja kuhororoja hapa.
Kama upo town nenda supermarket Au pharmacy nunua GO WOMAN NA EVE ZITAKUSAIDIA ukijumlisha na self control
 
Wewe ni Mwarabu? Maana wanapenda ngono balaa mimi nilikimbia baada ya kuona naelemewa hadi job ukienda ananuna ukirudi tuhujatulia lazima umle mbili ndio anatulia mkisha kula tu uchi unamuwasha anataka mabao tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
 
Nyie mnaojifanya perfect humu nendeni mkawe mashemasi makanisani

Au mjitolee kuwa kama mama Maria mzisaidie jamii na huo uperfect wenu mxiiieww

Nimewaobserve kwenye nyuzi tofauti tofauti sasa endeleeni na hapa.

I have a serious problem
Inanifanys naumwa kichwa kupita kiasi mnakuja kuhororoja hapa.
Waambie hao kujifanya mabikira maria na roho watakatifu wakati roho mtakatifu anatenda dhambi saba kwa siku je sie wana wa adamu wakutuwe
 
Hahahaaaa kwangu mie labda niamue tu ila hii thread haiwezi kuwa ni sababu

Nimekaa kimya sana,najifungia ndani,napata hasira na mixed feeling kwa kuwa horny

Na imekua too much kwa sababu mpaka mpendwa wangu amefunguka anasema anajua anat*mbewa coz nipo high sana.
Hii ndo sababu iliyonifanya nije public as kuna watu wa kaliba mbalimbali

nilikujaga mie na uzi mwepesi tu wa wanaume wanaokunywa' cerveja' kupitiliza !bas walitokea malaika pale weeengi mno mno !sasa pm ndo ikaonionesha watu wengi wanfake sana !walijaa wamama wenye shida km yangu ya upampula !had nikashangaa ! ukipita bar 80%ni wanaume wanywaji lakini langu likaonekana kuubwaaa .jipyaaaa !mxieweeeeeeeeeeeeeeee

ndo ushaiandika hapa subiri uone waja
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kusex sanaa

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa

Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia,wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Nakushauri uendelee kuchepuka na kumcheat mumeo.

Dunia utakufundisha na wala hutakuja hapa kuomba ushauri.

Mchuma majanga hula na wakwao.
 
Back
Top Bottom