Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
olalalaa!had nimesisimka mwe!Mwambie jamaa akupige katerero,hamu itaisha
Ok nami ni km wewe lkn hiyo ovulation jamani jamani jamani na mwenye pipe asiwepo aisee wacha niishie hapa kiufupi huwa nahisi km ukichaahata mimi pia ila ikipita ovulation narudi normal hiyo ni kawaida kwa sie wanawake. ila mwenzetu sijui kwake inakuwaje
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Duuh. Pole sana mwaya.
Well said.utakua na Hii shida..unawez pata tiba lakini kwa supplements nutrients na pia self control.ntafute for more details ntakupa food supplementInatibikaje?
Good then....Heeeh hilo ni tatizo bro tena kubwa ni vema hata yeye kafunguka kuna wengi sana wanalo hili tatizo na hawajijui kama ni tatizo,
mara nyingi huanzia zamani kama aliwahi kua sexual abused kwa namna yoyote ile na hii ipo for both men and women.
Itafute movie inaitwa Addicted utawaelewa kidogo hawa watu.
Hapo inawezekana kuna tatizo la kisaikolojia zaidi.
Inawezekana una compensante. Labda utueleze, utotoni ulikosa kitu gani? Ulipata mapenzi ya wazazi? Kuna ndugu zako mlikuwa mnashindana? Uliishi na baba na mama? Ulikuwa ma kitu gani ulichokosa utotoni?
Au una viasilia vinavyokufanya uwe hypersexual? Unatumia vyakula gani? Vilevi gani? Mazingira unayokuwa muda mwingi yakoje?
hebu jisome umeandika nn mamy!Naomba unielekeze vyakula ninavyokula.
Suluhisho kishapata, kwanza kajua kua ni tatizo la kisaikolojia, pili kajua akikutana na mtaalam atapata tiba na tatu kajua kua hayupo peke yake kuna wenzie out there ndio maana humu wadau wamejua kua ni tatizo.Good then....
Unadhani hapa anaweza pata suluhisho la hiyo kitu yenye inampa shida...[emoji47] [emoji47]
Zaidi ya yote, hapa ni kama ndio amaifungulia fursa kwa vijana wenye njaa ya papuchi ama maben10...[emoji13] [emoji13]
sis na wewe unataka upate haamu? [emoji23] [emoji23]Naomba unielekeze vyakula unavyokula.
Hahahaaaa kwangu mie labda niamue tu ila hii thread haiwezi kuwa ni sababuGood then....
Unadhani hapa anaweza pata suluhisho la hiyo kitu yenye inampa shida...[emoji47] [emoji47]
Zaidi ya yote, hapa ni kama ndio amaifungulia fursa kwa vijana wenye njaa ya papuchi ama maben10...[emoji13] [emoji13]
Hahaaaa!! My kaka hebu niwache kwanza.sis na wewe unataka upate haamu? [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Hahaaaa!! My kaka hebu niwache kwanza.
Huyu ujue anatuzingua shogaangu,hamu gani hizo khaaUngeupeleka jukwaa la doctors ili wakupe ushauri sababu sio hali ya kawaida aisee.
Pole sana kama ni kweli.
What is nymphomania?Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kusex sanaa
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa
Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia,wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba unielekeze vyakula unavyokula.