Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie dawa basi bestKumbe nawe una genyez disease
Sasa hamu si itaisha kabisa au???Kaondoe Kinembe. Yaani kakeketwe.
Hamu zitakuisha.
Mi ata dawa siijui kapeace, cha zaidi ntakusaidia dushe tu kwa tiba ya fasta.Nisaidie dawa basi best
Mamboz
Ni nzur kabisaHabari
Hiyo tiba ya dushe si tiba ya kudumuMi ata dawa siijui kapeace, cha zaidi ntakusaidia dushe tu kwa tiba ya fasta.
Mambo yako gud na VP za kuadimika
Nami pia nimekuhamu my dear. Zimefika mwaya.Ni Kweli shosti
Mambo nimekuhamu msalimie shunie
Ndo niliyo nayo iyo ila subiri wataalum zaidi na unaweza pata cha kusaidiaHiyo tiba ya dushe si tiba ya kudumu
Za kwangu pouwa kabisa
Meza pilton nusu saa kabla ya tendo nione kama utaweza !!Zinasaidia nn?
Asante sana bestNami pia nimekuhamu my dear. Zimefika mwaya.
Nafurahi kukuona tena rafiki sababu kule ni zaidi ya kuadimika. Karibu tena.
Ok pouwaNdo niliyo nayo iyo ila subiri wataalum zaidi na unaweza pata cha kusaidia
Hiyo fix tupu haiponyeshi labda hiyo ya kufanyiwa upasuajiNashangaa dawa yako kama inaweza kuponesha.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Duuh pole sana. Hivyo shemeji kazi anayo. [emoji85] [emoji85]Asante sana best
Nitafutie dawa kabla sijaharibu Niko na Hii shida ati
Utakuwa umenisaidia maana duh mengine labda pm humu hayaandikikiDuuh pole sana. Hivyo shemeji kazi anayo. [emoji85] [emoji85]
Nitaitafuta shoga ili uondokane nalo mwaya.
Samahani sio swali langu lakini mimi Hii hunitokea hasa nikiwa ovulation
Duuh. Pole sana mwaya.Utakuwa umenisaidia maana duh mengine labda pm humu hayaandikiki