ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kusex sanaa
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa
Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia,wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Nakuomba PM...hakuna namna zaidi ya kucheat