Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kusex sanaa

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa

Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia,wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.

Nakuomba PM...hakuna namna zaidi ya kucheat
 
Hiyo inaitwa SEX MANIAC or Advanced Libido

That's it come for different forms
1 . prostitution
2.masturbation
3 .exhibition of sex

Hii hali inamfanya mtu kutojizuia kbs kufanya mapenzi bila kujali ypo mazingira gani,

Pia inaweza kupelekea mtu kuwa na matatizo mbalimbali kama vile:
: depression
: anxiety
: obsessive na decrease concentration and productivity at work.

Nakushauri nenda kamwone
doctor ili aweze kukupatia matibabu ya kuweza kuondoa hiyo hali.


NB. Inapelekea kupata mimba zisizotarajiwa na magonjwa mbali mbali.
 
Babe....
Dunia inabadilika kwa mwendo wa kasi zaidi ya Standard Gauge.
Yaani nashangaa jinsi wamama walivyo kosa aibu na maadili ya kuitunza siri kama wamama wa nyumba
Heeeh hilo ni tatizo bro tena kubwa ni vema hata yeye kafunguka kuna wengi sana wanalo hili tatizo na hawajijui kama ni tatizo,
mara nyingi huanzia zamani kama aliwahi kua sexual abused kwa namna yoyote ile na hii ipo for both men and women.

Itafute movie inaitwa Addicted utawaelewa kidogo hawa watu.
 
Sometime Putin ,nashikwa nahasira ..Naamua tu kuwachana laivu ..Mnaishia kunitukana .

SEMA serious ,, Humu JF kuna kakundi kadogo Ka wanawake wanaojielewa sana, Ubaya sio wasemaji ..Matokeo yake Kundi Kubwa lawanawake aina ya Mtoa mtoa Wanakua wasemaje sanaaaaaaaa Kiasi kwamba kale kakundi kadogo kanafunikwa Namwisho wote mnaishia kuonekana HAMNA KITU.

Ifike Maali ,,mjifunze kukemea mambo km haya coz yanawa Devalue sana.

Ivi hapa mwanamke aloolewa anajifunza nini ???? ,kwakiasi fulan hapa kuna mwanamke naye anaenda kuhalalisha udhaifu wake nakuanza kuchepuka !!!

Kuna siku nilisema WANAWAKE WA JF MNAONGOZA KWA KUVUNJA NDOA ZAWATU KUPITIA POST ZENU NAMICHANGO YENU ,,,hamjui nn ,,huwa mnajenga nn vichwan mwa watu ..

Aiseeee Inakera sana.
Mkuu
Sidhani kama kuna mwanamke anayeweza kuisaliti ndoa sababu ya maneno ya Jf, huyo atakuwa sii mwanamke timamu.

Wachache wamo wenye busara zao, na hao wenye mawazo mgando huwezi wabadilisha kamwe. Ndivyo walivyo na ujue tabia haina dawa Mkuu!!!

La muhimu humu kila mtu asimamie anachoamini tu, za kuambiwa changanya na zako!!

Punguza hasira, ya humu ni mengi mno!!!
 
Mkuu
Sidhani kama kuna mwanamke anayeweza kuisaliti ndoa sababu ya maneno ya Jf, huyo atakuwa sii mwanamke timamu.

Wachache wamo wenye busara zao, na hao wenye mawazo mgando huwezi wabadilisha kamwe. Ndivyo walivyo na ujue tabia haina dawa Mkuu!!!

La muhimu humu kila mtu asimamie anachoamini tu, za kuambiwa changanya na zako!!

Punguza hasira, ya humu ni mengi mno!!!
"Punguza hasira, ya humu ni mengi".
 
Hiyo inaitwa SEX MANIAC or Advanced Libido

That's it come for different forms
1 . prostitution
2.masturbation
3 .exhibition of sex

Hii hali inamfanya mtu kutojizuia kbs kufanya mapenzi bila kujali ypo mazingira gani,

Pia inaweza kupelekea mtu kuwa na matatizo mbalimbali kama vile:
: depression
: anxiety
: obsessive na decrease concentration and productivity at work.

Nakushauri nenda kamwone
doctor ili aweze kukupatia matibabu ya kuweza kuondoa hiyo hali.


NB. Inapelekea kupata mimba zisizotarajiwa na magonjwa mbali mbali.
We kaka umesema kweli
 
Na hawa ndio wanawake zetu, mjomba yupo mkoa anajua kaacha mzigo salama kumbe mzigo unaliwa halafu unasema kucheat
 
Hiyo inaitwa SEX MANIAC or Advanced Libido

That's it come for different forms
1 . prostitution
2.masturbation
3 .exhibition of sex

Hii hali inamfanya mtu kutojizuia kbs kufanya mapenzi bila kujali ypo mazingira gani,

Pia inaweza kupelekea mtu kuwa na matatizo mbalimbali kama vile:
: depression
: anxiety
: obsessive na decrease concentration and productivity at work.

Nakushauri nenda kamwone
doctor ili aweze kukupatia matibabu ya kuweza kuondoa hiyo hali.


NB. Inapelekea kupata mimba zisizotarajiwa na magonjwa mbali mbali.
Akienda kwa doc amwone doc anaehusika na magonjwa yepi?
 
Back
Top Bottom