Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Msaada wakukupa ,,, mwambie mumeo , ajiunge na JF , atutafute tutampa Msaada na utafurahia kabisaaa wala iyo hamu yamara kwamara inayopelekea ucheat haitokuwepo tena ..

SEMA UKUMBUKEPO KUSALI CHAAAAAAAAA ...
MNAKATISHA TAMAAA SANA SISI AMBAO HATUJAOA .
 
ni tatizo kubwa kuliko unavyodhani na sasa kuna ulazima wa kuanza kusaka matibabu seriously. Tafuta doctor husika, namjua mdada mmoja yeye ilikuwa akiguswa tu na mwanaume hata kwa bahati mbaya tayari mzuka unampanda alienda south africa kufanyiwa surgery sasa yupo ok. Tafuta matibabu mamii wewe ni mgonjwa.
Dharra toa maelezo vzr...walimfanyia surgery ya nini?
 
Swali, Je unafika kileleni kila unapo sex na kwa mara ngapi kila mnapokuwa mnafanya? Nijibu kwa ufasaha na kiuhalisia, usibuni majibu Tafadhali.
 
Babe....
Dunia inabadilika kwa mwendo wa kasi zaidi ya Standard Gauge.
Yaani nashangaa jinsi wamama walivyo kosa aibu na maadili ya kuitunza siri kama wamama wa nyumba
Sawa atunze siri halafu atabakia na maumivu mpaka lini? Kama we ni Me unajua ni kiasi gani mshipa ukisimama unakosa ustaarabu kiasi hata akipita kichaa unaweza muona Mrembo, vipi usitambue kuwa hamu unayoipata ndiyo yampata huyu kiumbe wa kike?
 
Uko wapi sasa hivi?
Nadhani hata ulipokuwa ukiandika ulikuwa na hamu, niambie nije nikupe tiba ya kudumu!
 
Back
Top Bottom