Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Nimejifunza kujichua ni kuzidisha tatizo sio yangu lkn kupitia Uzi Huu Nimepata somo
Kweli kabisa mama, kuna elimu nzuri imetolewa humu na akina Nyani Ngabu hivyo hata ukikutana na mwenye tatizo kama hilo basi unajua hata pa kuanzia kumsaidia au kama kuna mwingine yeyote mwenye tatizo kama la mtoa mada basi kapata msaada pia.
 
Hilo pepo la ngono nenda ukafanyiwe maombi haraka
 
Nawe una hili tatizo??

wewe nitakuombea maana nina bible mkono wa kushoto lala kifudifudi neno litimie.
Comment yako nimeiscreenshot ili iwe tiba maana shida yangi ipo ktk hatua za mwanzo ni rahisi kuicontrol
 
Ovulation days ujue ile hali ndo inayokera maana km ni taulo linadunda vidole havifai kuvizoea ni hatari kwani huwezi kuwa na hamu ya pipe ni midole tuuuuu
Hivi hii huwa hutegemea na wanawake au wote tunapitia hiyo Hali.... Lile joto waweza hisi uchizi!!Naona kadri unavyokuwa ovulation inazidi kutesa!!
 
Kweli kabisa mama, kuna elimu nzuri imetolewa humu na akina Nyani Ngabu hivyo hata ukikutana na mwenye tatizo kama hilo basi unajua hata pa kuanzia kumsaidia au kama kuna mwingine yeyote mwenye tatizo kama la mtoa mada basi kapata msaada pia.
Nachoshukuru nineshiriki mjadala sijaishia kusoma tu

Mbarikiwe sana muwe na jioni njema
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Hali hiyo itakupata kama utafanya mapenzi bila kudidsh sasa jichunguze kama huwa unadindishwa ndo unafanya,

Lakini pia hujaeleza una miaka mingapi,unatumia vyakula gani, lazima hilo tatizo umweleze mume wako hata kama atachoka basi aendelee kukuchezea

Kuna majitu humu yanakwambia uyadm yananyege tu ya kutongoza na mtu anaomba ushauri na ameolewa

Mwambie mume wako maana kuchepuka c jibu, ili mbadilishe modality ya mapenzi na staili,aanze kukuchezea hata saa 1 uwe umepiz mara nyingi ndo akuingilie

Usikubali kutumia dawa hilo litaisha lenyewe
 
Hivi hii huwa hutegemea na wanawake au wote tunapitia hiyo Hali.... Lile joto waweza hisi uchizi!!Naona kadri unavyokuwa ovulation inazidi kutesa!!
Thanks sweetheart maana mimi siku hizi jamani ni too much mpk unajikuta unatokwa chozi na mengineyo untalkable
 
Kuna mawili ni kuwa na hamu iliyopitiliza(sex Maniac) sasa hapa ni kusaka tiba utakuwa hufanyi kazi wewe ni kushughulikiwa tu na hata pia mumeo hatoweza nae yupo katika utafutaji mwishowe ni mimba usizotarajia au magonjwa.

Pili yawezekana huwa hufiki kileleni ndo inakupelekea kuwa ivo ila kama unafika kileleni na bado upo ivo basi tafuta tiba kwani kikawaida mwanamke akifika huwa tunakuwa watulivu Sana

Ww unafikaga?!
 
Njoo pm

Nakuhaidi Ilo tatizo lako litaisha kabisa.
Niny kila kitu ni pm c tongozeni hadharani,mtakuja kutongoza na majini wahuni nyie mtu anaomba ushauri njoo pm. I hate dis behaviour
 
Basi Kuna mengi saana kwako...

1. Huwenda kipindi ulipoanza kupata hamu kilikuwa ni kipindi cha kawaida kinachotokea kwa kila mtu ila ulipoaanza kujichua ukakidumaza kikaendelea hadi leo.

Unahitaji ushauri wa kisaikolojia.

Nitakachokushauri haya:
1. Kwanza kaa mbali na hawa wanaokuita inbox watalimaliza tatizo lako wanaweza kukuharibia ndoa yako. Wakemee nami nitaenda mlimani kukuombea.

2. Hamu ya ngono ni suala la kisaikolojia linaloweza kukuondoka akilini kama utanuia kuanzia akilini hadi kwenye mazingira uishiyo.

Hapa:
-hikikisha unakaa mbali na chochote unachohisi kitakushawishi kuwaza ngono, jukwaa la wakubwa, MMU, n.k

-tafuta cha kufanya kitakachokusaulisha hiyo hamu. Hapa tofautisha kuwa-busy na kuwa kazini. Kila mtu anaweza kuwa na kazi tena nzito ila sio kila mmoja anaweza kuwa busy au ku-concentrate kwenye hiyo kazi..lielewe kabisa.

-Inaonekana pia upo mwenyewemwenyewe muda mwingi. Jitahidi muda uliyopo free chukua watoto utoke nao mkatembee kama hauna hata wa jirani zako nendeni public places mkakae mpige story.. huwezi kuwaza ngono hapa otherwise unanitania

-fanya mazoezi lakini yawe serious... Nenda hata hapo Jk gerezani zunguka uwanjani mara nne kwa siku ukifika nyumbani nyonga zinauma. Ngono utaiskia.
Mkuu hapo ni pagumu sijui kuwa ataweza maana ukisema atoe mawazo inamaana aache kumuwaza hata Mkuu wa kaya itakuwa nouma tena arif
 
Hahahaha eti kundi la watakatifu aiseee yaan mtu ujiachie kukoment na kutoa mawazo yako from nowhere unaanza kashfiwa na kubadilishiwa maneno. Mwee mwee mweee(in senga's voice)
Hahahaaa. Nimecheka ujue my dear au na wewe ndio uko kwenye lile kundi linalozungumziwa humu la watakatifu.

Numbisa njoo ucheke huku.
 
Mm tangia navyoamka asbh saa 12 mpk napolala ucku naweza kudindisha hata mara 9,je namm naweza kuwa na ugonjwa huu?!
 
Back
Top Bottom