Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Mwambie mumeo atafute unga wa fisi maji ajichanjie kwenye dushe tatizo lako litakuwa historia
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Pole kwa tatizo
Hili tatizo umeanza kupata muda gan?
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Waislam ikitujia hali kama hiyo mafundisho yetu yanatufunza tufunge. (Ibada ya swaum).

Inasaidia sana, maana inaweza kuwa inasababishwa na "life style" yako kwa hiyo Ibada ya kufunga itabadilisha "life style" yako.
 
Waislam ikitujia hali kama hiyo mafundisho yetu yanatufunza tufunge. (Ibada ya swaum).

Inasaidia sana, maana inaweza kuwa inasababishwa na "life style" yako kwa hiyo Ibada ya kufunga itabadilisha "life style" yako.

Shukrani
Nimeondokana na hali hiyo muda sasa
 
Waislam ikitujia hali kama hiyo mafundisho yetu yanatufunza tufunge. (Ibada ya swaum).

Inasaidia sana, maana inaweza kuwa inasababishwa na "life style" yako kwa hiyo Ibada ya kufunga itabadilisha "life style" yako.

Mkuu upo??? Kitambo sana sasa
 
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Hilo swali Muulize Mwenyezi Mungu atakupa solution ya kudumu.
 
Back
Top Bottom