Kama kweliNawalaumu sana wazazi wetu, kweli mzazi wa kuweza kukuachia urithi wa milioni 700 hakukuachia ujuzi wowote ambao ungeundeleza, wazazi tuwafundishe watoto wetu uwekezaji na biashara tokea wakiwa wadogo.
Mtu mwenye million mia 7 hawezi kuupata muda wa kupost something jf
Wape gawio serikali kuunga mkono juhudi
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Chapa ilale.Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Ili mumteke ? ..info gani zaidi inahitajika zaidi ya kumpa idea za biashara kwa mtaji huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi ukatoa ushauri pasipo kuwa na facts za kukuongoza kutoa ushauri,ni lazima mtu apate ABC kuhusiana nawe
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Maana yake ana sup[emoji3]Ngoja kwanza kabla hatujaenda kwenye ushauri wa hiyo fedha, nielimishe maana ya Hilo neno "assup" please
Mi ninajihisi Kama nalitafsiri vibaya eti! Tofauti na As Soon As Possible
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni comedy ya mwaka😅😅😅hakunaga!
Ngoja kwanza kabla hatujaenda kwenye ushauri wa hiyo fedha, nielimishe maana ya Hilo neno "assup" please
Mi ninajihisi Kama nalitafsiri vibaya eti! Tofauti na As Soon As Possible
Sent using Jamii Forums mobile app
dadeq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja kwanza kabla hatujaenda kwenye ushauri wa hiyo fedha, nielimishe maana ya Hilo neno "assup" please
Mi ninajihisi Kama nalitafsiri vibaya eti! Tofauti na As Soon As Possible
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo dar ndg yangu unauliza nn tena hapo ni parte after parte after parte after parte ayeeeeee!