Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

Nawalaumu sana wazazi wetu, kweli mzazi wa kuweza kukuachia urithi wa milioni 700 hakukuachia ujuzi wowote ambao ungeundeleza, wazazi tuwafundishe watoto wetu uwekezaji na biashara tokea wakiwa wadogo.
Kama kweli
 
Geuza milioni mia 6 uweke kwenye akaunti ya dola.. Chukua milioni sabini ununue dala dala mbili (Nissan Civillian) katia bima kubwa.. Kila mwezi zikuingizie kama M5 ya kula.. Usiwe na tamaa na biashara za mtaji mkubwa.. Zinaweza zikakuendea kombo ukajikuta unaanza moja!
 
Umesema uko dar kwa makonda na umepanga chumba

Kwa nini umeamua kukimbilia Dar na kuacha fursa za bure bure hapo Mwanza
 
Ningejenga BONGE ya ghorofa pale ngarenaro halafu kwa juu naandika JANJAROO
 
Weka bank fixed deposit kama million 600 afu million 100 fungua biashara ya kukupa hela kila siku huku ukisubiri ya fixed iendelee kuzaliana. Pia fikiria kuwekeza kwenye kununua na kupanda miti. Ya mbao.
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Chapa ilale.
 
Weka akili ikue kwa kukuza million 100 iongeze ukiona unaweza sasa ndo ufikirie za kwenye fixed uzifanyie nini
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Invest kwenye kwenye forex. By mwisho wa mwaka unaweza kuwa unamiliki hata Bombadier moja.
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja kwanza kabla hatujaenda kwenye ushauri wa hiyo fedha, nielimishe maana ya Hilo neno "assup" please

Mi ninajihisi Kama nalitafsiri vibaya eti! Tofauti na As Soon As Possible


Sent using Jamii Forums mobile app

🤣🤣🤣 Bosi ila umemwelewa si ndio ?? amemaanisha ivyo ivyo tumsaidie kwene mia saba M,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom