Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

Tafuta eneo zuri lenye mzunguko wa watu piga nyumba zako 10 za milioni 40 za vyumba vitatu na sebule za kawaida. Kisha weka wapangaji kwa 250k hadi 300k na kodi iwe ndio mtaji wa biashara. 300 milioni inayobaki iweke UTT au fixed deposit mpk akili ikikaa sawa
 
Mkuu kwanza unapaswa utilize kichwa,,,

Vinginevyo utapoteza,,
Nakushauri mtafute wema sepetu,,au Jacklin wolper,,watakushauri vzr sana..kama wenzio akina idrisa sultani na Dallas,,
 
Kama wewe ni mwanafunzi chuoni cha kwanza nakushauri acha chuo upesi iwezekanavyo
 
Fungua kituo Cha mafuta fuel filling station
Kama vile ulikuwa kichwani kwangu mkuu....nilikuwa nasoma ushauri wa wadau...ili mwishoni nimshauri ajenge kituo cha kuuza mafuta...700 ni nyingi...nadhani kituo cha mafuta kitamlipa zaidi ya nyumba za kupangisha.
 
Naziomba
 
Yaani unataka kutuambia huna jambo lolote moyoni mwako ambalo ungependa kulifanya? Kwa kifupi tenga fungu la kuwekeza, makazi na sadaka kwa ndugu zako wa karibu sio lazima yawe sawa.
 
Mtama kwa watoto
 
tuwasiliane tufungue construction co am the expert
 
Njoo mitaa ya makumbusho uchanganyikiwe na totoz afu ndo akili itulie....tunaopiga mishe makumbusho tunafaidi sana kwa macho...kiufupi faida ni mara mbili ukiwekeza huku
 
Akaombe ushauri idirisa sulutani

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Vipi bado hujajua utafanyia nini mpaka mwaka huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…