Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Humshauri kuekeza kwenye biashara, ila unamshauri kuekeza kwenye potential BUSINESS? Sasa Business sio biashara?Sikushauri uwekeze yote kwenye biashara kwa Sasa. Wekeza kidogo kidogo kwenye potential business.
Dar utachunwa ziishe.Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
beti Mkuu, tandaza mkekaHabari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
ASAP ndio hiyo yako yeye labda anayo yakeNgoja kwanza kabla hatujaenda kwenye ushauri wa hiyo fedha, nielimishe maana ya Hilo neno "assup" please
Mi ninajihisi kama nalitafsiri vibaya eti! Tofauti na as soon as possible.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili wazo zuri sana sanaPeleka BOT pale ule interest kwa mwaka uweke ua miaka 15
Nakumbuka ulikuwa ukiweka 500M kwa Mwaka unapata 80 per year kwa miaka 15
So kama unaweka 700 ina maana kwa miaka 15 kila mwaka una almost 100 zinaingia
So unachoweza fanya ni kwamba hiyo 100 unafanya yafuatayo
wewe unafungua biashara ya kwanza k unapambana nayo unachagua biashara let's say unasema unafungua
LODGE kwa wilayani, kwa 100M
Let's say unafungua lodge pale Makambako ndio pilot plan yako vyumba vyako 10 tu unatengeneza kitu kimoja safi then unasema pale kulala ni 50,000
Chumba hakikisha kina
[emoji117]Kitanda kizuri
[emoji117]Meza nzuri na kiti chake
[emoji117]TV angalau ya inch 50 na dstv full [emoji117]package
[emoji117]Sliding window
[emoji117]Tiles
[emoji117]Mlango wa kadi
[emoji117]Bafuni kuwe na Heater ya maji ya moto
Shower
[emoji117]Toilet safi mnoo
[emoji117]Ndala zisiwe za kukatwa ziwe za kwenu zenye logo zenu hata mtu akiondoka nazo mnaweza zingin
[emoji117]Bafuni mgeni anakuta kuna dawa ya mswaki, mswaki, shower gell, na lotion ya kutumia siku hiyo
[emoji117]Fridge kidogo ambapo kunakuwa na bia 2 , soda 2 na maji mawili
Huduma iwe ni Bed and Breakfast na kwamba Breakfast iwe ni bufee l
Wilayani humo watu tunaosafiri tunakosa lodge zenye huduma hizi
Receptionist awe mrembo haswaa
Room service pia
Parking iwepo hata mwenye DFP yake anapaki
Lodge ikiwa kali unakuwa ni talk of the town
Then unaitangaza kwenye Instagram etc
Unatengeneza na mfumo wa booking unajikuta lodge imekuwa booked full year
Wewe unatengeneza Niche yako Target yako ni wakuu wa idara mbalimbali za kiserikali wanaokuja wilayani humo, wafanyabiashara well off ambao hawapeni kulala lodge za kawaida
So ukiweza pilot wilaya moja next year unahamia wilaya nyingine with the same name so unategneenza Chain ya Lodges za jina lako so kwa miaka 15 unaweza tengeneza Lodges 15
However after 3 successful years ya kwanza ukiwa na history nzuri ya transactions let's kwa siku unalaza let's say 300,000 maana yake kwa mwaka lodge moja transactions ni inacheza 90M so unaweza kuandika proposal la mkopo Bank kujenga chains ya Lodges katika halmashauri 200 nchini unayoyainisha so unaweza lamba 20B ya mkopo bank kwa ajili ya expansion
So all in all 700 inaendelea kubaki bank
Bank una 20B za expansion maana hapa tunaongelea utakuwa na Lodges almost 200 nchini kote katika halmashauri
Kikubwa ni Standard ziwe zile zile
Ukishakuwa available kwenye kila halmashauri unachokifanya ni kifuatacho
[emoji117]Unafanya B2B ya Serikali kuu kwamba popote watu wa serikalini wanapokwenda wanalala kwenye lodge zako hapa unatengeneza offices Dar Es Salaam na Dodoma kwa ajili ya kuwa unafuatilia malipo, invoices maana unaweza introduce mfumo wa kulala na kulipa kila mwezi au annually kama ilivyo kwenye kuchukua mafuta
[emoji117] Unaongea na makampuni mengi ya mjini, mashirika na Taasisi binafsi zilizopo Dar kwa ajili ya kuwa unafuatilia malipo, invoices maana unaweza introduce mfumo wa kulala na kulipa kila mwezi au annually na kwenyewe
Marketing via Insta, Redio Stations (hawa wa redio stations ni sababu una sponsor events mbalimbali mfano lodge yako ndio inakuwa main sponsor wa Tigo tumewasha ya wasafi au fiesta ya Clouds so popote wasanii wakiwa wanaenda wilayani wanalala bure kwenye lodge zako
So watapiga piga picha, wata tag, watasifia
Unapata maillage na sifa
Thats very nice idea ya government bond anabakia na mtaji wake huku kila mwaka anakula 100m after 20yrs anachukua hela yake ama anawekeza tena bila preshaPeleka BOT pale ule interest kwa mwaka uweke ua miaka 15
Nakumbuka ulikuwa ukiweka 500M kwa Mwaka unapata 80 per year kwa miaka 15
So kama unaweka 700 ina maana kwa miaka 15 kila mwaka una almost 100 zinaingia
So unachoweza fanya ni kwamba hiyo 100 unafanya yafuatayo
wewe unafungua biashara ya kwanza k unapambana nayo unachagua biashara let's say unasema unafungua
LODGE kwa wilayani, kwa 100M
Let's say unafungua lodge pale Makambako ndio pilot plan yako vyumba vyako 10 tu unatengeneza kitu kimoja safi then unasema pale kulala ni 50,000
Chumba hakikisha kina
[emoji117]Kitanda kizuri
[emoji117]Meza nzuri na kiti chake
[emoji117]TV angalau ya inch 50 na dstv full [emoji117]package
[emoji117]Sliding window
[emoji117]Tiles
[emoji117]Mlango wa kadi
[emoji117]Bafuni kuwe na Heater ya maji ya moto
Shower
[emoji117]Toilet safi mnoo
[emoji117]Ndala zisiwe za kukatwa ziwe za kwenu zenye logo zenu hata mtu akiondoka nazo mnaweza zingin
[emoji117]Bafuni mgeni anakuta kuna dawa ya mswaki, mswaki, shower gell, na lotion ya kutumia siku hiyo
[emoji117]Fridge kidogo ambapo kunakuwa na bia 2 , soda 2 na maji mawili
Huduma iwe ni Bed and Breakfast na kwamba Breakfast iwe ni bufee l
Wilayani humo watu tunaosafiri tunakosa lodge zenye huduma hizi
Receptionist awe mrembo haswaa
Room service pia
Parking iwepo hata mwenye DFP yake anapaki
Lodge ikiwa kali unakuwa ni talk of the town
Then unaitangaza kwenye Instagram etc
Unatengeneza na mfumo wa booking unajikuta lodge imekuwa booked full year
Wewe unatengeneza Niche yako Target yako ni wakuu wa idara mbalimbali za kiserikali wanaokuja wilayani humo, wafanyabiashara well off ambao hawapeni kulala lodge za kawaida
So ukiweza pilot wilaya moja next year unahamia wilaya nyingine with the same name so unategneenza Chain ya Lodges za jina lako so kwa miaka 15 unaweza tengeneza Lodges 15
However after 3 successful years ya kwanza ukiwa na history nzuri ya transactions let's kwa siku unalaza let's say 300,000 maana yake kwa mwaka lodge moja transactions ni inacheza 90M so unaweza kuandika proposal la mkopo Bank kujenga chains ya Lodges katika halmashauri 200 nchini unayoyainisha so unaweza lamba 20B ya mkopo bank kwa ajili ya expansion
So all in all 700 inaendelea kubaki bank
Bank una 20B za expansion maana hapa tunaongelea utakuwa na Lodges almost 200 nchini kote katika halmashauri
Kikubwa ni Standard ziwe zile zile
Ukishakuwa available kwenye kila halmashauri unachokifanya ni kifuatacho
[emoji117]Unafanya B2B ya Serikali kuu kwamba popote watu wa serikalini wanapokwenda wanalala kwenye lodge zako hapa unatengeneza offices Dar Es Salaam na Dodoma kwa ajili ya kuwa unafuatilia malipo, invoices maana unaweza introduce mfumo wa kulala na kulipa kila mwezi au annually kama ilivyo kwenye kuchukua mafuta
[emoji117] Unaongea na makampuni mengi ya mjini, mashirika na Taasisi binafsi zilizopo Dar kwa ajili ya kuwa unafuatilia malipo, invoices maana unaweza introduce mfumo wa kulala na kulipa kila mwezi au annually na kwenyewe
Marketing via Insta, Redio Stations (hawa wa redio stations ni sababu una sponsor events mbalimbali mfano lodge yako ndio inakuwa main sponsor wa Tigo tumewasha ya wasafi au fiesta ya Clouds so popote wasanii wakiwa wanaenda wilayani wanalala bure kwenye lodge zako
So watapiga piga picha, wata tag, watasifia
Unapata maillage na sifa
Maeneo ambayo nyumba laki tano bei ya kiwanja ni kubwa au umuhamishe mtu. Hivyo kwa hiyo hela anaweza kuhamisha na kujenga nyumba 3 tu.Ningekuwa wewe ningejenga ghorofa ama nyumba za kupangisha Dar then natulia tuli kwa pesa hiyo unapata nyumba nzuri sana 14 ambazo unapangisha kwa laki5 unakuwa unapata 7 mil kila mwezi wakikulipa kwa miezi 6 una uwezo wa kuingiza 42 mil. Hizo ndo utaanza kufanyia biashara.
[emoji23][emoji23][emoji23]Fungua ka-bar kakali kabisa mitaa ya sinza pale kuliko La Chaaz na Boardroom,.. hutajuta mkuu, utakua unalewa huku hapohapo hela inaingia.
Sent using Jamii Forums mobile app
au unasemaje mkuu!?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekusoma mkuu,hapo pa kufungua bar na yeye pia awe analewa hapohapo..au unasemaje mkuu!?
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
mi nadhani hyo biashara inahitaji mtu kubadilika mara kwa mara, na kuhakikisha haipotezi hadhi yake, nyingi hua zikishapoteza hadhi tu zinafifia jumla.. Kikubwa ubunifu nadhani.Nimekusoma mkuu,hapo pa kufungua bar na yeye pia awe analewa hapohapo..
Sema biashara ya bar bhana ina siasa sana..ikiwa mpya inakuwa yente,as time goes on biashara inafifia,
Alizibeti zoteeee zikaisha ivyo. Kuna uzi alikuwa anaulizia mambo ya kubeti. Ilikula kwake.Fungua kituo cha mafuta fuel filling station
Kwa kweli mkuuuHii ni comedy ya mwaka
Eti mtu account yake ina m.774 halafu apate mda wa kupost jf na kujibu comments
iyo lunch nani analipia?Nitafute mkuu kwa milion 10 baada ya wiki mbili nakupa milion 16.
Sikushauri uwekeze yote kwenye biashara kwa Sasa. Wekeza kidogo kidogo kwenye potential business.
Nina mengi ya kukuguide Kama hutojali nakualika lunch leo pale La chaaz tuexhange views and ideas.
Bless.
Sent using Jamii Forums mobile app