Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hii ni njia nzuri, hata mimi imewahi kunisaidia kwa kiasi fulani japo sikukopa na kujenga mimi nilifanya kitu kingine.Dawa kopa mkopo mkubwa ujengee nyumba za kupanga Ili huo mkopo ukuweke bize kupambana kuulipa.
Ila usiache kuisaidia watu kadri unavyobarikiwa.Makundi ya kusaidia ni wazazi, watoto yatima,wajane, wagonjwa, wanafunzi waliokwama.Usisaidie mtu kwenda kula raha.
Ndio mkuu...nipo seriousUna shida tajwa hapo juu kweli mkuu?
Mkuu mi nilikuwa na hilo tatizo ila baadaye napokwama unakuta wanaokusaidia ni wachache ,muhimu ni kuweka malengo ya maendeleo ,unapotaka kuwekeza au kununua kitu cha maana usisite mara mbili halafu utaona maendeleo.Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.
Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.
Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.
Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.
Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.
Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.
But I don’t know what I can do again.
Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?
Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.
Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Sawa mkuu,,nitashukuru sana.Okay, tumuombe Mungu kuche salama.
Ulimbukeni wa pesa unakusumbua. Fanya kazi, pata hizo hela, jaribu kufanya kama vile huna kipato chochote. Yaani usimsaidie mtu wala usifanye uchangudoa.Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.
Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.
Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.
Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.
Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.
Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.
But I don’t know what I can do again.
Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?
Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.
Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Kwanini unapenda ku comment kwa kiingereza, wengine hatuelewiYou are seeking acceptance from people, hoping it will make you feel better about yourself.
Especially when they thank you for your help or treat you like a king when you are out partying.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwanini unapenda ku comment kwa kiingereza, wengine hatuelewi
Sasa mtajuaje km anakijua?!Kwanini unapenda ku comment kwa kiingereza, wengine hatuelewi
Shetani akitaka kuingia na kukutawala huwa anaangalia udhaifu wako,Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.
Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.
Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.
Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.
Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.
Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.
But I don’t know what I can do again.
Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?
Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.
Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.
Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.
Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.
Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.
Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.
Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.
But I don’t know what I can do again.
Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?
Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.
Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Hivi hiki kitabu kina tafasiri ya kiswahili? I wish siku moja nikisome! Watu wengi hukizungumzia sana. Mkuu kama kuna kilichotafsiriwa kiswahili naomba niambieKasome rich dad poor dad, kitakuinspire sana