Ushauri: Nina roho ya kusaidia watu na kufuja pesa

Ushauri: Nina roho ya kusaidia watu na kufuja pesa

Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.

Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.

Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.

Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.

Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.

Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.

But I don’t know what I can do again.

Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?

Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.

Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Jenga kwa kukopa wawe wanakukata kwenye mshahara.
 
Jiwekee ratiba ya matumizi yako, Anzisha miradi ya ujenzi, Ukipokea hela zako chukua nusu yake nunua ardhi kwa uwekezaji wa baadae.Usikae na hela tu ambazo hazina matumizi ya lazima, ukikaa na hela tu na shetani nae anapata mwanya wa kukuvuruga
 
Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.

Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.

Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.

Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.

Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.

Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.

But I don’t know what I can do again.

Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?

Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.

Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Swala la wanawake kuonga dawa yake ni kuoa, tafuta mwanamke mmoja utakae mpenda na kukujali wewe pia, na asikupendee pesa zako, ukiwa na mwanamke wa mithili hiyo hutakua na tamaa kutafuta wanawake na kuwalipa ufanye nao ngono pia ni hatari kwa afya yako, tunatafuta pesa lakini hatujitunzi kiafya ni uhuni uhuni tu
 
Hivi hiki kitabu kina tafasiri ya kiswahili? I wish siku moja nikisome! Watu wengi hukizungumzia sana. Mkuu kama kuna kilichotafsiriwa kiswahili naomba niambie
Rich daddyni baba ambae alipenda sana kujua elimu ya pesa lakini yeye hakufanya vizuri sana darasani, Poor daddy ni yule daddy aliesisitiza sana juu ya elimu akiamini kuwa elimu yenye ufaulu mzuri ndiyo utampa mtu mafanikio kwenye maisha, yani mtoto amalize shule na marks za juu, tofauti yao rich daddy aliefeli shuleni ndiyo akaja kuwa na mafanikio makubwa na kuwa tajiri sana na aliwekeza kwenye biashara, ila poor daddy mzee aliefaulu sana shuleni na kufanya vizuri kwenye masomo yake kwa marks nzuri akaishia kuwa masikini,

Ni kwa muhtasari tu hapo,ila tafuta kitabu nawe ukisome kina mambo mazuri utajifunza
 
Tafuta mwanamke wa kudumu ikibidi uoe mkuu.
 
Rich daddyni baba ambae alipenda sana kujua elimu ya pesa lakini yeye hakufanya vizuri sana darasani, Poor daddy ni yule daddy aliesisitiza sana juu ya elimu akiamini kuwa elimu yenye ufaulu mzuri ndiyo utampa mtu mafanikio kwenye maisha, yani mtoto amalize shule na marks za juu, tofauti yao rich daddy aliefeli shuleni ndiyo akaja kuwa na mafanikio makubwa na kuwa tajiri sana na aliwekeza kwenye biashara, ila poor daddy mzee aliefaulu sana shuleni na kufanya vizuri kwenye masomo yake kwa marks nzuri akaishia kuwa masikini,

Ni kwa muhtasari tu hapo,ila tafuta kitabu nawe ukisome kina mambo mazuri utajifunza
Ahsante mkuu , ntapata kilichotafsiriwa kwa lugha ya kiswahili kwenye maduka ya vitabu?
 
Ahsante mkuu , ntapata kilichotafsiriwa kwa lugha ya kiswahili kwenye maduka ya vitabu?

Kuna jamaa anaviuza vitabu alivyovitafsiri kwa lugha ya Kiswahili hapa hapa jf, alifungua uzi anauza vitabu mbalimbali
 
Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.

Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.

Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.

Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.

Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.

Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.

But I don’t know what I can do again.

Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?

Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.

Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?

Hakuna kitu kina nuksi na mikosi Kama uzinzi.
 
Rich daddyni baba ambae alipenda sana kujua elimu ya pesa lakini yeye hakufanya vizuri sana darasani, Poor daddy ni yule daddy aliesisitiza sana juu ya elimu akiamini kuwa elimu yenye ufaulu mzuri ndiyo utampa mtu mafanikio kwenye maisha, yani mtoto amalize shule na marks za juu, tofauti yao rich daddy aliefeli shuleni ndiyo akaja kuwa na mafanikio makubwa na kuwa tajiri sana na aliwekeza kwenye biashara, ila poor daddy mzee aliefaulu sana shuleni na kufanya vizuri kwenye masomo yake kwa marks nzuri akaishia kuwa masikini,

Ni kwa muhtasari tu hapo,ila tafuta kitabu nawe ukisome kina mambo mazuri utajifunza
Tatizo ngeli mzee
 
Bado una sijaona tatizo lako hapo, kula maisha bwa’mdogo dunia sio yetu hii.
 
Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.

Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.

Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila mwezi.

Kila nikijaribu kuacha siwezi na siyo misaada tu kwa watu mpaka mademu kwa wiki nalala na wanawake wa 3 au wawili na wote nawalipa pesa. Najaribu kuacha najikuta siwezi na ninazidi kufilisika kila kukicha.

Yaani hapa hivi nilianza kufanya kazi 2018 mpaka leo lakini cha ajabu sina kitu bank sina kitega uchumi hata kimoja.

Nilikuwa na kwangu lakini nilihama kwa wazazi wangu kwasababu ya hali yangu hiyo.

But I don’t know what I can do again.

Mnafikiri tatizo hili uletwa na nini?

Au kipi nifanye ili ni-avoid na hali hii.

Na kingine kati ya kuchunga pesa na kuziwekeza kwenye biashara kipi kizuri?
Endelea na moyo huo huo mkuu, Mimi nahitaji msaada nakaribishwa pm?
Nipo serious sio jokes
 
Nina ndugu yangu analipwa milion 5 salary , ila ni mbahili sana na yeye yupo tayari kutoa pesa asomeshe lakini sio vitu vingine ni mtu wa protocal sana, namkubali sana na tunaelewana sana, shida yake ni mtu wa uchumi sana pamoja na kulipwa hela nyingi anajibana lakini hela yake inapotea pasipo ona amefanya kitu gani, ni ngumu kumjua kama ana hela au lahasha kuna mtu amemkopesha hela nyingi na hajarudishiwa mpaka leo na huyo mtu nilimkanya maana tayari na mimi nilishamkopeshaga, sasa bado yupo anapanga mpaka leo ana kiwanja kikubwa ila hajapiga hatua za ujenzi, so ni vyema ndugu zangu kiushauri mtu uwe na mkakati juu ya pesa unazozipata tusaidie lakini kuwe na mpango wa kukuendeleza wewe binafsi, kutoa ni kitu kizuri chenye baraka ila ni vyema kuwa makini unavyotoa



Watu wengi bahili uongozwa na ubinafsi na mwisho peza zao na mali huwa zinapotea bila wao kujua .
 
Back
Top Bottom