Ushauri, nina wivu uliopitiliza

Ushauri, nina wivu uliopitiliza

sam green

Senior Member
Joined
Feb 21, 2020
Posts
184
Reaction score
274
1617874525365.png
Wana JF nimekuwa muhanga wa kuwa na wivu uliopitiliza katika mahusiano , sijui ni mimi tu au kuna wengne wana wivu kama mimi hii imekaaje wanaume wenzangu.

1. Siihitaji mpenzi wangu awe na mazoea na wanaume bila sababu ya msingi.

2.Napenda sana kufatilia simu yake muda mwingi huwa nampokonya ili kujua anawasliana na wakina nani? Sanaa.

3.Nikiona anaongea na mwanaume au kaongozana na mtu hilo ni tatizo kubwa sana lazima nimuulize wanamazungumzo gani? Baina yao.

4.Lakin yeye anaonesha kuchukizwa sana na vitendo vya kumchunga anasema kuwa kama namwamini basi nimpe uhuru maana ana akili anatambua analofanya jema na baya.

NB: Huyu mwanamke nampenda sana na nahitaji awe mke wangu hapo baadae, ndio maana namchunga sana mazoea na wanaume sitaki sababu huwa wanakula tunda kimasihala.

Nini? Ushauri wenu kwangu mdogo wenu.

Pia soma: Punguza wivu kwenye mahusiano
 
Kumyima mtu uhuru, unamtengenezea kuwa na maisha ya unafiki, Mwache mtu awe huru, itakusaidia kujua tabia zake..., Ili utafakari kama unaweza kuzibeba au la..! Ili huko kwenye ndoa upambane na kasoro zake tu na sio tabia tena maana tabia tiyari unazijua na umekubaliana nazo kuzibeba
 
Kumyima mtu uhuru ,unamtengenezea kuwa na maisha ya unafiki , Mwache mtu awe huru ,itakusaidia kujua tabia zake..., Ili utafakari kama unaweza kuzibeba au la..! Ili huko kwenye ndoa upambane na kasoro zake tu na sio tabia tena maana tabia tiyari unazijua na umekubaliana nazo kuzibeba
Sawa sawa kabsa
 
Kwakweli Sina Cha kukusaidia maana mi mwenyewe ndo walewale, akimtizama mwanamke na nikaona natamani hata kumpofusha huwa namziba macho kwa mikono, akimgusa mwanamke natamani nikate mikono huwa naishia kumvuta mkono, akisifia muonekano wa mwanamke natamani nimfanye bubu lakini namuangalia jicho flani hivi nabadili mada ama namziba mdomo,, nimepatwa
 
Kwakweli Sina Cha kukusaidia maana mi mwenyewe ndo walewale, akimtizama mwanamke na nikaona natamani hata kumpofusha huwa namziba macho kwa mikono, akimgusa mwanamke natamani nikate mikono huwa naishia kumvuta mkono, akisifia muonekano wa mwanamke natamani nimfanye bubu lakini namuangalia jicho flani hivi nabadili mada ama namziba mdomo,, nimepatwa
Nawewe muda utafika utatamani hata apate mwanamke mwingine wewe uvute pumzi
 
Kwakweli Sina Cha kukusaidia maana mi mwenyewe ndo walewale, akimtizama mwanamke na nikaona natamani hata kumpofusha huwa namziba macho kwa mikono, akimgusa mwanamke natamani nikate mikono huwa naishia kumvuta mkono, akisifia muonekano wa mwanamke natamani nimfanye bubu lakini namuangalia jicho flani hivi nabadili mada ama namziba mdomo,, nimepatwa
Sio poa kabsa yaan
 
Wana JF nimekuwa muhanga wa kuwa na wivu uliopitiliza katika mahusiano , sijui ni mimi tu au kuna wengne wana wivu kama mimi hii imekaaje wanaume wenzangu.

1. Siihitaji mpenzi wangu awe na mazoea na wanaume bila sababu ya msingi.

2.Napenda sana kufatilia simu yake muda mwingi huwa nampokonya ili kujua anawasliana na wakina nani? Sanaa.

3.Nikiona anaongea na mwanaume au kaongozana na mtu hilo ni tatizo kubwa sana lazima nimuulize wanamazungumzo gani? Baina yao.

4.Lakin yeye anaonesha kuchukizwa sana na vitendo vya kumchunga anasema kuwa kama namwamini basi nimpe uhuru maana ana akili anatambua analofanya jema na baya.

NB: Huyu mwanamke nampenda sana na nahitaji awe mke wangu hapo baadae, ndio maana namchunga sana mazoea na wanaume sitaki sababu huwa wanakula tunda kimasihala.

Nini? Ushauri wenu kwangu mdogo wenu.

Pia soma: Punguza wivu kwenye mahusiano
Nina uhakika haujavuka 25 prove me wrong!
 
Back
Top Bottom