Ushauri, nina wivu uliopitiliza

Wivu ni mzuri kwenye mapenzi bwana,ila usizidi hadi ukawa kero.
 
Hivi mtu unapata wapi muda na nafasi, kumchunga au kumfuatilia kiumbe mwenye akili na utashi,

Jah aniepushe na hizi kariba, maisha mafupi haya nijipe majukumu mazito km hayo ili iweje khaaaah.

Poleeeeeh sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh sana lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…