Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ni mubabaz huyo au ?Jinsia yako?
Sikuuelewa uandishi wake..Si ni mubabaz huyo au ?
Ameshachukua maamuzi magumu sio😃😃😃😂😂🙆♀️🙆♀️Mbona umeweka uzi hujibu, umejinyonga?
Mmempa nondo(spana) kakimbia🤣🤣🏃🏃Ameshachukua maamuzi magumu sio😃😃😃😂😂🙆♀️🙆♀️
Ameona bora akalie pekeyake chooni..waja mnataka kumtoa roho kwa maneno 😂😂😂😂Mmempa nondo(spana) kakimbia🤣🤣🏃🏃
Copy copy over🤣Delta one alpha , we need immediate back up i repeat one asset down over...
Mbona nyie vijana wa sasa mnakuwa rojo rojo sana, tepe tepe , hamna zile element za kiume, acha mteswe tu, wenzio kila sekunde mademu wanatupigia magoti na kutunyenyekea, hivi mnakosea wapi... Hizi mada zenu za kulialia wanafaa mabinti wawe wanatafuta ushauri wa namna hii.Habari zenu wanajamii ninaomba msaada wenu nilikua na mpenzi wangu niliyempenda sana na tumepanga malengo mengi sana kiasi kwamba nikatulia nae lakini wiki moja iliyopita nikakuta sms za kimapenz na mtu mwengine nilichukua maamuzi mabaya yampiga kofi moja nakumpokonya cm kwahasira lakini kesho yake nikazungumza nae ili nimuombe msamaha nahivi ndivyo alivyonijibu.
“MIMI ninakupenda sana tu na hata huyu uliyekuta sms zake anajua jinsi ninavyokupenda lakini kwa ulichonifanyia moyo wangu haupo tena kwako Upo kwa huyu coz we ilinisema vibaya ila huyu alinibembeleza ila kama unaweza nipe mda kama Kweli unanipenda “
Najaribu kumasahau nashindwa coz nilimuamini sana nabado ninampenda sitaki kumpoteza coz tushafany mamb mengi sana yamaisha na hata starehe pia…😩. ikimpigia cm neno lake kubwa tusiongelee kilichotokea utanikwaza tuendelee kuishi sasa sijui nifanyaje nahitaji nifike nae mbali kiujumla hasira zangu ndo zimeniponza.
Naombeni ushauri jamni 🙏🙏🙏🙏
DARASA LA SABA WANAFANYA MTIHANI MWEZI HUUHabari zenu wanajamii ninaomba msaada wenu nilikua na mpenzi wangu niliyempenda sana na tumepanga malengo mengi sana kiasi kwamba nikatulia nae lakini wiki moja iliyopita nikakuta sms za kimapenz na mtu mwengine nilichukua maamuzi mabaya yampiga kofi moja nakumpokonya cm kwahasira lakini kesho yake nikazungumza nae ili nimuombe msamaha nahivi ndivyo alivyonijibu.
“MIMI ninakupenda sana tu na hata huyu uliyekuta sms zake anajua jinsi ninavyokupenda lakini kwa ulichonifanyia moyo wangu haupo tena kwako Upo kwa huyu coz we ilinisema vibaya ila huyu alinibembeleza ila kama unaweza nipe mda kama Kweli unanipenda “
Najaribu kumasahau nashindwa coz nilimuamini sana nabado ninampenda sitaki kumpoteza coz tushafany mamb mengi sana yamaisha na hata starehe pia…😩. ikimpigia cm neno lake kubwa tusiongelee kilichotokea utanikwaza tuendelee kuishi sasa sijui nifanyaje nahitaji nifike nae mbali kiujumla hasira zangu ndo zimeniponza.
Naombeni ushauri jamni 🙏🙏🙏🙏