Ushauri: Nini kifanyike Shule za Serikali zifanye vizuri

Ushauri: Nini kifanyike Shule za Serikali zifanye vizuri

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
Hello JF,

Leo nimejikuta nawaza sijui kama hii serikali haioni kuwa ni haki ya kila mtoto wa ki Tanzania kupata na Elimu nzuri/bora? kwa nini baadhi ya watoto wachache wawe na a better start na wengine system iwa fail miserably? Anyway, hata nchi za nje kuna shule za private za grammar lakini still serikali inahakikisha watoto wote wana access to quality and FREE education.

Binafsi nadhani hili swala la elimu kabisa lipo ndani ya uwezo wa serikali basi tu ni UBINAFSI wa viongozi wetu.

Labda tu assume, serikali inataka kujua why shule nyingi za private zinafanya vizuri? Ningependa tuchangie mawazo jinsi/wapi serikali inafeli na suggestions for improvements, mawazo yangu ni haya:

1. Shule nyingi za private zinazo perform vizuri zimejengwa mbali na miji, in isolated places. Hii inazuia distractions kutoka kwa watu, magari etc

2. Shule za private zinazofanya vizuri nyingi zina mazingira yaliyojengwa vizuri na gardens. Gardens huwa zinatuliza nafsi. Nafsi inakua na amani, kuna studies zinazolink gardens/ good buildings na impact kwenye learning.

3. Discipline: Shule za private zinazofanya vizuri nyingi ni kama jeshi, watoto wana structured days and nights, anajua saa fulani inatakiwa kuwa sehemu fulani, no alternative! Shule za serikali wana muda mwingi/Freedom kufanya mambo yao.

4. Uhaba wa vitabu/vifaa vya maabara ni UZEMBE wa serikali, ingeweza kabisa kuongeza ada kidogo kulipia hivi vitu, hao Private wanalipa fees kubwa, lakini zote zinakuwa channelled properly. Kama mnataka watoto wafaulu hakuna kukwepa lazima u-invest in them!

Nyingine ongezeeni. Lol
 
Wanasiasa hawajali huduma zinazotolewa kwenye taasisi za kiserikali wao ni kusifu tu na kuwaza uchaguzi wa 2025.


Shule za kata zina mazingira magumu sana ya kujifunzia.

Lugha pia ni kikwazo kikubwa sana

vitabu

walimu

Njaa(chakula cha mchana hakuna)

Upungufu wa madarasa(pamoja na haya ya covid ila bado upo upungufu)

Jamii kutoona umuhimu wa elimu


walimu,viongozi wa elimu kutokuwa wabunifu.
 
Shule za serikali Nazi ziruhusiwe kuchuja kuondoa makapi kama zinavyofanya za private. Shule za private zinafundisha cream ndiyo maana kwenye matokeo zinatoa siagi.
 
Hello JF,

Leo nimejikuta nawaza sijui kama hii serikali haioni kuwa ni haki ya kila mtoto wa ki Tanzania kupata na Elimu nzuri/bora? kwa nini baadhi ya watoto wachache wawe na a better start na wengine system iwa fail miserably? Anyway, hata nchi za nje kuna shule za private za grammar lakini still serikali inahakikisha watoto wote wana access to quality and FREE education.

Binafsi nadhani hili swala la elimu kabisa lipo ndani ya uwezo wa serikali basi tu ni UBINAFSI wa viongozi wetu.

Labda tu assume, serikali inataka kujua why shule nyingi za private zinafanya vizuri? Ningependa tuchangie mawazo jinsi/wapi serikali inafeli na suggestions for improvements, mawazo yangu ni haya:

1. Shule nyingi za private zinazo perform vizuri zimejengwa mbali na miji, in isolated places. Hii inazuia distractions kutoka kwa watu, magari etc

2. Shule za private zinazofanya vizuri nyingi zina mazingira yaliyojengwa vizuri na gardens. Gardens huwa zinatuliza nafsi. Nafsi inakua na amani, kuna studies zinazolink gardens/ good buildings na impact kwenye learning.

3. Discipline: Shule za private zinazofanya vizuri nyingi ni kama jeshi, watoto wana structured days and nights, anajua saa fulani inatakiwa kuwa sehemu fulani, no alternative! Shule za serikali wana muda mwingi/Freedom kufanya mambo yao.

4. Uhaba wa vitabu/vifaa vya maabara ni UZEMBE wa serikali, ingeweza kabisa kuongeza ada kidogo kulipia hivi vitu, hao Private wanalipa fees kubwa, lakini zote zinakuwa channelled properly. Kama mnataka watoto wafaulu hakuna kukwepa lazima u-invest in them!

Nyingine ongezeeni. Lol
Wakajifunze kwa shule zinazofanya vizuri
 
Hello JF,

Leo nimejikuta nawaza sijui kama hii serikali haioni kuwa ni haki ya kila mtoto wa ki Tanzania kupata na Elimu nzuri/bora? kwa nini baadhi ya watoto wachache wawe na a better start na wengine system iwa fail miserably? Anyway, hata nchi za nje kuna shule za private za grammar lakini still serikali inahakikisha watoto wote wana access to quality and FREE education.

Binafsi nadhani hili swala la elimu kabisa lipo ndani ya uwezo wa serikali basi tu ni UBINAFSI wa viongozi wetu.

Labda tu assume, serikali inataka kujua why shule nyingi za private zinafanya vizuri? Ningependa tuchangie mawazo jinsi/wapi serikali inafeli na suggestions for improvements, mawazo yangu ni haya:

1. Shule nyingi za private zinazo perform vizuri zimejengwa mbali na miji, in isolated places. Hii inazuia distractions kutoka kwa watu, magari etc

2. Shule za private zinazofanya vizuri nyingi zina mazingira yaliyojengwa vizuri na gardens. Gardens huwa zinatuliza nafsi. Nafsi inakua na amani, kuna studies zinazolink gardens/ good buildings na impact kwenye learning.

3. Discipline: Shule za private zinazofanya vizuri nyingi ni kama jeshi, watoto wana structured days and nights, anajua saa fulani inatakiwa kuwa sehemu fulani, no alternative! Shule za serikali wana muda mwingi/Freedom kufanya mambo yao.

4. Uhaba wa vitabu/vifaa vya maabara ni UZEMBE wa serikali, ingeweza kabisa kuongeza ada kidogo kulipia hivi vitu, hao Private wanalipa fees kubwa, lakini zote zinakuwa channelled properly. Kama mnataka watoto wafaulu hakuna kukwepa lazima u-invest in them!

Nyingine ongezeeni. Lol
Zifanye vizuri kwamba watoto wapate A?
Nazani ungeshauri mfumo wa elimu ubadilishwe mitihani ya Taifa ifutwe na watoto wapimwe kwenye levo ya shule.

Mfumo wa elimu wa sasa usha pitwa na wakati wewe fikiria tangu tupate uhuru ndo mfumo huo huo tunao utumia unategemea nini?
 
Shule za serikali Nazi ziruhusiwe kuchuja kuondoa makapi kama zinavyofanya za private. Shule za private zinafundisha cream ndiyo maana kwenye matokeo zinatoa siagi.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Vipi hio siagi baada ya hapo inaneda wapi? Mbona huwa haisikiki tena?

Huu ufauru nyuma ya pazia kuba mambo mengi sana
 
Back
Top Bottom