Banjuka
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 1,007
- 1,922
Salaam Jamiiforums,
Naombeni msaada wa mawazo, niko na njia mbili ila sijui niifate ipi?
Nimeitiwa mahali kuna kiwanja kinauzwa milioni 20, wakati huo huo nikaitiwa sehemu nyumba inauzwa milion 35. Je, niache kununua kiwanja ninunue nyumba?
Naombeni msaada wa mawazo.
Naombeni msaada wa mawazo, niko na njia mbili ila sijui niifate ipi?
Nimeitiwa mahali kuna kiwanja kinauzwa milioni 20, wakati huo huo nikaitiwa sehemu nyumba inauzwa milion 35. Je, niache kununua kiwanja ninunue nyumba?
Naombeni msaada wa mawazo.