kama mtaji NI mdogo kuliko oda za wateja, nakushauri ufanye yafuatayo/ Moja Kati ya yafuatayo;
1.Omba mkopo Kwa taasisi zinazotoa mkopo Kwa wajasiliamali(mfano bank)
2.Anzisha mpango wa wateja wako kulipia pale wanapoweka oda/kabla ya kupata bidhaa( bila shaka wateja wako wengi ambao wanaweka oda wameshajenga uaminifu na wewe,sasa cha kufanya wasiliana nao na uwaambie wafanye malipo ya bidhaa mara wanapoweka oda/ kabla ya kupata, bidhaa,washawishi Kwa sababu za msingi! Mfano unaweza kuwaambia kuwa hii nikutokana madiliko kidogo ya kampuni ninayofanya nayo Kazi au sababu yoyote inayoeleweka, wanaweza kulipa fedha yote au nusu ama asilimia kadhaa za gharama,alafu wewe utaitumia kununua bidhaa zinazokidhi haja ya uhitaji.Sio wote watakubali Ila watakao kubali fanya nao KAZI, jitahidi unakuwa Makini usipoteze mteja hata mmoja Kwa sababu Tu ulivunja uaminifu Kwa kumuahidi atapata bidhaa alafu akakosa Kwa Muda mliopangiana, ikitokea umeshindwa kuwakamilishia oda zao basi wape taarifa mapema na utoe sababu nzuri ili next time wakuamini tena.
3.Wasiliana na mahali ambapo wewe huwa unalangua bidhaa zako,na uwaambie kuwa wakupe bidhaa kisha utawalipa ndani ya MDA fulani,waeleze Hali halisi kuwa idadi ya oda za wateja ni kubwa kuliko kiwango unachoweza ku-afford.Naweza kukupa ushauri bure wasiliana na Mimi;
Raphael Mathew Kalolo (mwanafunzi wa shahada ya Kwanza ya biashara Katika chuo cha biashara CBE dar es salaam)
phone:0756401790
email:
raphaelmathewkalolo@gmail.com
Instagram: raphaelkalolo23