Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Kweli??? Nilidhani kwenye seriousness watu hupeana constructive ideas, wengine wana mitaji ila hawajui waanzeje...wasaidieni bwana..!!
Mkuu unaweza kuchukua mkopo bila kujua cha kufanyia......?........au kwa sababu umeuona huu hapa hiyo inatosha.........?......
well.....binafsi mikopo ya hivyo huwa naitumia kwenda Vamizi........