Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Uwe unaleta nyuzi kama hizi za kujifunza, na siyo za umalaya na mama J, sasa wa kwanza kukosea ni mwanaume, kwanini uzae nje ya ndoa, ndomaana Mungu kakataza kwasababu ya changamoto kama hizi.
 
Apeleke watoto KWA wazazi wake kama wazazi wanaeleweka, awawekee mdada wa kaz I awahudumie ,avunje aina zote za mawasiliano, aende ustawi aeleze apewe haki ya malezi,
Maana wanawake ni wachawi sana,usikute anapima upepo aongezewe hela
 
Apeleke watoto KWA wazazi wake kama wazazi wanaeleweka, awawekee mdada wa kaz I awahudumie ,avunje aina zote za mawasiliano, aende ustawi aeleze apewe haki ya malezi,
Maana wanawake ni wachawi sana,usikute anapima upepo aongezewe hela
Na Mimi nahisi hivo, anatengeneza mazingira aongewe pesa za matumizi
 
Mshikaji ana mzazi/mlezi wa kike aliye hai na mwenye nguvu ya kumsaidia kulea watoto mpaka wafikie umri wa kuanza shule? Kama ndiyo, awaombe wamsaidie. Atoe taarifa kazini na ustawi wa jamii wasitishe makato, then aachane na huyo malaya.


Mshikaji = Malaya

Binti/Madam = Malaya


Watoto = matokeo ya umalaya wa hao wawili.


Mchuma janga hula na wakwao. Apeleke watoto kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…