Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.

Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.

Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.

Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.

Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.[emoji848]

Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.

Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.

WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,

ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G[emoji120]

Nawasilisha
Aisee
 
Haya mambo yaskie tu ila usiombe yakukute lakin mwanamke mwenye akili timamu hawez kutelekeza watoto wake wakuwazaa mwenyew tena wadogo huo ni upumbavu tena wakiwango cha rami.
Miinachoona jamaa awachukue hao watoto atafute ndugu wakaribu aongee nae amsaidie kuwaangalia watoto kwa muda huku akipambana kuweka maisha sawa nahuo ndo uwe mwisho wa yeye na huyo mwanamke ikiwezekana akate mawasiliano kabsa huyo mwanamke asimpate jamaa Alafu jamaa apambane sana juu ya hao watoto kuwalea huku akipewa msaada wa uangalizi wa watoto na ndugu wa kike naamini mungu hamtupi mjawake hao watoto watakuwa tu mungu yupo na atawaongoza mbaka yeye mwenyew atashangaa na watoto watakuwa wakubwa alafu tutaona huyo mwanamke mwisho wasiku itakuaje Ny*ko zake
 
Kuna jamaa yangu Ni mkandarasi serikalini, mkewe Ni mtendaji. walijenga hapa Dar baadae jamaa kaja kuhamishiwa mkoani kikazi, ikabidi mkewe nae kikazi ahamie huko huko mkoani wilaya alipo Mumewe. Hivyo nyumba Yao ya Hapa Dar wakaipangisha.

Mwaka juzi jamaa alikuja kupata kesi fulani uko kazini kwake mkoani, hivyo nafasi yake akateuliwa mtu mwingine, nae akatakiwa kuripoti makao makuu Mara Moja, ila matumaini ya jamaa Ni kwamba atapangiwa majukumu mengine.

Hivyo Jamaa hakuona umuhimu wa Kurud Dar na familia nzima akisubiri kujua atapangiwa wapi Tena. Hivyo nae akatafuta nyumba nyingine akapanga hapa hapa Dar, mkewe akimuacha kule kule mkoani.
Ila bro kwa hapa jamaa yako ni mkandarasi na anafanya kazi serikalini umetupiga kamba mkandarasi kwa kingereza ni contractor sasa inakuwaje aajiriwe tena,[emoji848][emoji848]
 
Akome kuzalisha hovyo hovyo kama kuku
Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.

Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.

Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.

Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.

Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.[emoji848]

Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.

Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.

WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,

ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G[emoji120]

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom