Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Nakaziaaa kaangaika kote huko kutafuta punguzo.

DADA ZANGU, Mwanaume kama anajitoa kuhudumia na unajua hali yake ya kiuchumi sio vizuri kupelekana ustawi wa jamii. Wengi wana huu ukichaa waache madhara ni makubwa kuliko faida.
Mkuu ningekuona upo sahihi ungetuambia wanaume tutulie kwenye mahusiano yetu au tutumie kinga.
Mwanamke ni kiumbe kinaendeshwa na hisia zaidi, huyo jamaa ni mpumbavu sana
 
Nakaziaaa kaangaika kote huko kutafuta punguzo.

DADA ZANGU, Mwanaume kama anajitoa kuhudumia na unajua hali yake ya kiuchumi sio vizuri kupelekana ustawi wa jamii. Wengi wana huu ukichaa waache madhara ni makubwa kuliko faida.

Sema na nyie muache kuzurura na vizipu vyenu vikiwa wazi huko nje,mnajitafutia matatizo kama ya mtoa mada
 
Umalaya haujawahi kuwa salama kwa mwanadamu...Ndoa hakuna wale watoto wa mwanzo kwa mke wa ndoa wajiandae kwa mawazo,huyo mwingine ataishi maisha ya hovyo mpaka awe mkubwa.

Yote hayo yamesababishwa na jinga moja mwanaume..
 
Umalaya haujawahi kuwa salama kwa mwanadamu...Ndoa hakuna wale watoto wa mwanzo kwa mke wa ndoa wajiandae kwa mawazi ,huyo mwingine ataishi maisha ya hovyo mpaka awe mkubwa.

Yote hata yamesababishwa na jinga moja mwanaume..
Yaani hapa sijui kama Mke wake atavumilia, Halafu kuna mtu anakuambia hilo si ishu kwa mwanaume. Yaani aliyeturoga kwamba mwanaume akiwa mzinz si ishu ila ni kwa mwanamke alituweza.
Mpumbavu wa kwanza ni huyo jamaa mpaka nyumba ya Mke wako unamuonyesha mchepuko
 
Yaani hapa sijui kama Mke wake atavumilia, Halafu kuna mtu anakuambia hilo si ishu kwa mwanaume. Yaani aliyeturoga kwamba mwanaume akiwa mzinz si ishu ila ni kwa mwanamke alituweza.
Mpumbavu wa kwanza ni huyo jamaa mpaka nyumba ya Mke wako unamuonyesha mchepuko
Tamaa haziwahi kuwa salama ...Ndoa umejenga mda mrefu ila kosa dogo tu basi linakugharimu.
 
Jamaa hana akili anatombaje mwalimu bila kondomu waalimu mzunguko wao wa kuzaa ni chap ukimwaga inajibu[emoji23][emoji23][emoji23] apambane sana yaani akomae watoto wakue ila sirudie kula hivi viwalimu
Ha ha ha....kwaiyo Kuna taaluma nyngn kunasa mimba zinachelewa?[emoji2]
 
Nakaziaaa kaangaika kote huko kutafuta punguzo.

DADA ZANGU, Mwanaume kama anajitoa kuhudumia na unajua hali yake ya kiuchumi sio vizuri kupelekana ustawi wa jamii. Wengi wana huu ukichaa waache madhara ni makubwa kuliko faida.
Bora uwaambie, nilichogundua ustawi wa jamii mwanaume ukiwa muwazi hawana noma kabisa
 
Yaani hapa sijui kama Mke wake atavumilia, Halafu kuna mtu anakuambia hilo si ishu kwa mwanaume. Yaani aliyeturoga kwamba mwanaume akiwa mzinz si ishu ila ni kwa mwanamke alituweza.
Mpumbavu wa kwanza ni huyo jamaa mpaka nyumba ya Mke wako unamuonyesha mchepuko
Aisee jamaa alibugi Sana mkuu, nadhan ndo Ile wanasema penzi kitovu Cha uzembe
 
Bunti kafanya vyema Kwa level ya akili za mabint wa kiafrika basi yupo sawa.q
Mabint wengine hutupa watoto chooni Kwa sababu ya ugum wa maisha lakin huyo kawapeleka watoto Kwa Baba Yao.
 
Back
Top Bottom