bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Watoto wa zinaa usumbua sana kwenye ndoa usioane naoMshikaji = Malaya
Binti/Madam = Malaya
Watoto = matokeo ya umalaya wa hao wawili.
Mchuma janga hula na wakwao. Apeleke watoto kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa zinaa usumbua sana kwenye ndoa usioane naoMshikaji = Malaya
Binti/Madam = Malaya
Watoto = matokeo ya umalaya wa hao wawili.
Mchuma janga hula na wakwao. Apeleke watoto kwao.
Wanaume tumekuwa watu wa kufeli sanaMuda ulivozidi Kwenda yupo yupo tu makao makuu na hapangiwi Kazi nyingine, na bado kesi yake kule mkoani inamvuruga kichwa ikambidi yule mpangaji wake Kodi ikiisha asipokee Tena Kodi yake. Hivyo kumpa notisi kwa Nia ya kuhamia kwake mwenyewe, lengo Ni apunguze gharama za maisha.
Akiendelea kuishi apa Dar mwenyewe, akaja kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja Ni mwalimu wa shule ya msingi. Mahusiano yao yalianza kuingia mgogoro binti alivopata tu mimba ya jamaa. Na mgogoro wao mkubwa ulikua Ni suala zima la pesa.
Kwa maelezo ya jamaa Ni kwamba madam haridhiki na anachohudumiwa, anaomba pesa za matunzo kuliko uwezo wake, asipopewa Ni migogoro juu ya migogoro.
Jamaa kasharipot kazini kwake kuwa mke kasepa na mke wake anajua?Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.
Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.
Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.
Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.
Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.[emoji848]
Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.
Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.
WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,
ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G[emoji120]
Nawasilisha
Kabsa mzeeNyege Ni Hasara.
Heading na content haviendaniKuna jamaa yangu Ni mkandarasi serikalini, mkewe Ni mtendaji. walijenga hapa Dar baadae jamaa kaja kuhamishiwa mkoani kikazi, ikabidi mkewe nae kikazi ahamie huko huko mkoani wilaya alipo Mumewe. Hivyo nyumba Yao ya Hapa Dar wakaipangisha.
Mwaka juzi jamaa alikuja kupata kesi fulani uko kazini kwake mkoani, hivyo nafasi yake akateuliwa mtu mwingine, nae akatakiwa kuripoti makao makuu Mara Moja, ila matumaini ya jamaa Ni kwamba atapangiwa majukumu mengine.
Hivyo Jamaa hakuona umuhimu wa Kurud Dar na familia nzima akisubiri kujua atapangiwa wapi Tena. Hivyo nae akatafuta nyumba nyingine akapanga hapa hapa Dar, mkewe akimuacha kule kule mkoani.
Nyege dearChizi kakutana na tahira.....mwanaume una matatizo ya kazi hutulii yakaisha unaenda kuongeza tena matatizo
Chenga za mchele wa vitumbua mkuu achana nao kabisaMkuu unataka kusema walimu wa kizazi hiki ni chenga??
🤣🤣🤣🤣🤣Nyege dear
Umeongea ukweli mchunguMaswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.
Tatizo lipo hapa [emoji115][emoji115]
Kuna mwanamke mmoja kazaa na jamaa; anadai matunzo na kupewa ila hataki mwanaume amuone mtoto kwa kisingizio kwamba mwanaume hajaenda nyumbani kwa mwanamke kukabidhiwa mtoto rasmi.
Hataki hata kumuonyesha kadi ya mtoto wala tangazo la kuzaliwa, ila matunzo ya mtoto anataka.
Kuna tabia unaweza ukadhani ni mimba inasababisha lakini hapana.
Kuna wanawake wana tabia za mauaji kwa watoto wao.
Hata kama wazazi au mzazi ana makosa, mtoto hapaswi kuingizwa kwenye machafuko baina ya wazazi.
Usitawi wa jamii wajulishwe haraka, mengine yatamilizika vizuri, ila huyo jini wa kike kitamramba.Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.
Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.
Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.
Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.
Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.[emoji848]
Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.
Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.
WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,
ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G[emoji120]
Nawasilisha
Nyege si angekojoa nje au wangetumia kinga, P2.Nyege dear
Ndio nashangaa..mwalimu hesabu ya kuogeza, kugawa,kuzidisha na kutoa ni zero kabisa.Huyo binti kakataa 10-20 per day alafu anaenda kuchekelea 150K kwa mwezi, ni maajabu.
Yeye akajua kamkomoa mwenzie kumbe ujinga mtupu.Ndio nashangaa..mwalimu hesabu ya kuogeza, kugawa,kuzidisha na kutoa ni zero kabisa.
Kweli wapo Hawa wanaharamu na dawa yao ni kutokutoa kabisa waende wanapoweza aiseeMaswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.
Tatizo lipo hapa [emoji115][emoji115]
Kuna mwanamke mmoja kazaa na jamaa; anadai matunzo na kupewa ila hataki mwanaume amuone mtoto kwa kisingizio kwamba mwanaume hajaenda nyumbani kwa mwanamke kukabidhiwa mtoto rasmi.
Hataki hata kumuonyesha kadi ya mtoto wala tangazo la kuzaliwa, ila matunzo ya mtoto anataka.
Kuna tabia unaweza ukadhani ni mimba inasababisha lakini hapana.
Kuna wanawake wana tabia za mauaji kwa watoto wao.
Hata kama wazazi au mzazi ana makosa, mtoto hapaswi kuingizwa kwenye machafuko baina ya wazazi.