Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Muda ulivozidi Kwenda yupo yupo tu makao makuu na hapangiwi Kazi nyingine, na bado kesi yake kule mkoani inamvuruga kichwa ikambidi yule mpangaji wake Kodi ikiisha asipokee Tena Kodi yake. Hivyo kumpa notisi kwa Nia ya kuhamia kwake mwenyewe, lengo Ni apunguze gharama za maisha.

Akiendelea kuishi apa Dar mwenyewe, akaja kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja Ni mwalimu wa shule ya msingi. Mahusiano yao yalianza kuingia mgogoro binti alivopata tu mimba ya jamaa. Na mgogoro wao mkubwa ulikua Ni suala zima la pesa.

Kwa maelezo ya jamaa Ni kwamba madam haridhiki na anachohudumiwa, anaomba pesa za matunzo kuliko uwezo wake, asipopewa Ni migogoro juu ya migogoro.
Wanaume tumekuwa watu wa kufeli sana
 
Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.

Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.

Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.

Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.

Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.[emoji848]

Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.

Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.

WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,

ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G[emoji120]

Nawasilisha
Jamaa kasharipot kazini kwake kuwa mke kasepa na mke wake anajua?
 
Wanaume mna matatizo sana, hv wakati mpo kwenye mahusiano si mnajua kabisa huyu mwanamke si wa kuzaa nae ,au ndo genye za kukojoa hovyo zinawaponza?

Hao watoto kwanini usingewapeleka kule kwa mama j wako? Mana ndo wanafanana.
N way....mshauri tu atafte njia ya kumwambia mke wake mana watoto wanazidi kukua na itakuja kujulikana tu
 
Kuna jamaa yangu Ni mkandarasi serikalini, mkewe Ni mtendaji. walijenga hapa Dar baadae jamaa kaja kuhamishiwa mkoani kikazi, ikabidi mkewe nae kikazi ahamie huko huko mkoani wilaya alipo Mumewe. Hivyo nyumba Yao ya Hapa Dar wakaipangisha.

Mwaka juzi jamaa alikuja kupata kesi fulani uko kazini kwake mkoani, hivyo nafasi yake akateuliwa mtu mwingine, nae akatakiwa kuripoti makao makuu Mara Moja, ila matumaini ya jamaa Ni kwamba atapangiwa majukumu mengine.

Hivyo Jamaa hakuona umuhimu wa Kurud Dar na familia nzima akisubiri kujua atapangiwa wapi Tena. Hivyo nae akatafuta nyumba nyingine akapanga hapa hapa Dar, mkewe akimuacha kule kule mkoani.
Heading na content haviendani
 
Hii ni kausha damu tukisema tunaambiwa tunawanyanyasa wanawake.ona sasa
 
Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.

Tatizo lipo hapa [emoji115][emoji115]

Kuna mwanamke mmoja kazaa na jamaa; anadai matunzo na kupewa ila hataki mwanaume amuone mtoto kwa kisingizio kwamba mwanaume hajaenda nyumbani kwa mwanamke kukabidhiwa mtoto rasmi.

Hataki hata kumuonyesha kadi ya mtoto wala tangazo la kuzaliwa, ila matunzo ya mtoto anataka.

Kuna tabia unaweza ukadhani ni mimba inasababisha lakini hapana.

Kuna wanawake wana tabia za mauaji kwa watoto wao.

Hata kama wazazi au mzazi ana makosa, mtoto hapaswi kuingizwa kwenye machafuko baina ya wazazi.
Umeongea ukweli mchungu
 
Leo asbh nashangaa jamaa ananipigia simu Yuko getini kwangu anashida, ananiomba Mara Moja. Nmeamka natoka nje kumskiliza namkuta jamaa kabeba Watoto wake wawili mapacha anasema yule mwalimu kamtelekezea hawa Watoto mlangoni kwake alfajiri anadai maisha ni magumu Sana, hawezi Tena kuendelea kulea hawa Watoto peke Yake.

Nikamuulza jamaa kwani ile pesa waliyokua wakukakata kazini na kumuingiza binti kwny account yake ilisitishwa? Akamjibu "hapana bado nakatwa, anaingiziwa binti". Wote tukabaki na mshangao inakuaje binti anafanya kitendo kama hiki.

Hatua nilizochukua,
Nikamshaur jamaa Kwanza Hawa Watoto wake wabaki apa kwangu, MKE wangu atawaangalia. Kisha mimi nikalitolee ripoti uongozi wa mtaa au polisi na yeye akalitolee taarifa kwa maboss wake uko kazini kwake.

Upande wangu nmeshatekeleza suala la taarifa, mwanamke kapigiwa sana na simu yake haipatkani mpk Sasa, na kazini kwake tumetafuta hayupo, simu tumepiga mpk tumechoka.

Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.[emoji848]

Kwa maana alililia matunzo ya Watoto anayopewa hayatoshi mpaka akapigania mwanaume amekatwa posho yake kule kazini kwake 150,000 KILA mwezi kwa lazima ili kugharamia matunzo ya watoto na yeye akalifurahia sana Hilo, Tena kwa ngebe kabisa.

Imekuaje sahivi analeta pigo za kutupiana Watoto wachanga vibarazani, Tena alfajiri kabisa na mvua hizi zinazonyesha za masika.

WAKUU KAMA KUNA LA KUSHAURI, nawakaribisheni NI RUKSA,

ILA MPAKA JIONI HII NMERUD NYUMBANI KWANGU NMEKUTA WATOTO WA JAMAA WAKO SALAMA SALMINI MIKONONI MWA MKE WANGU MAMA G[emoji120]

Nawasilisha
Usitawi wa jamii wajulishwe haraka, mengine yatamilizika vizuri, ila huyo jini wa kike kitamramba.
 
Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.

Tatizo lipo hapa [emoji115][emoji115]

Kuna mwanamke mmoja kazaa na jamaa; anadai matunzo na kupewa ila hataki mwanaume amuone mtoto kwa kisingizio kwamba mwanaume hajaenda nyumbani kwa mwanamke kukabidhiwa mtoto rasmi.

Hataki hata kumuonyesha kadi ya mtoto wala tangazo la kuzaliwa, ila matunzo ya mtoto anataka.

Kuna tabia unaweza ukadhani ni mimba inasababisha lakini hapana.

Kuna wanawake wana tabia za mauaji kwa watoto wao.

Hata kama wazazi au mzazi ana makosa, mtoto hapaswi kuingizwa kwenye machafuko baina ya wazazi.
Kweli wapo Hawa wanaharamu na dawa yao ni kutokutoa kabisa waende wanapoweza aisee
 
Back
Top Bottom