Ushauri: Rais avunje wizara za TAMISEMI na Utumishi ili kupunguza matumizi

Kunastori nilishawahi sikia kuwa, kunafedha ya mfadhili ilishaletaga utata kati ya wizara ya afya na Tamisemi kuhusu utoaji chanjo Fulani ambapo mfadhili alivyoweka mpunga tu, wizara ya afya ikataka kusimamia shoo nzima, huku na kule Tamisemi wakasimama na kusema mzigo inabidi wausimamie wao coz ndio wenye rasilimali watu. Kwa kiasi Fulani nakubaliana na mtoa mada
 

well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…