Ushauri: Rais Mstaafu Kikwete, kwa hili la bandari unajiaibisha na kujivua nguo

Acha uchochezi na punguza chuki kwa asiyefahamu hata uwepo wako.
Wewe kwa upofu na ujinga wako endelea kutumia ubongo wako kukuvushia barabara usigongwe na gari.
Kisha tumia ubongo wako kukumbuka kula na kwenda msalani.
Acha wengine tutumia akili zetu kivingine tuonavyo inatufaa please.!
Hujalazimishwa kuja kusoma kama haikupendezi unapita kuleee...ufukweni pembeni ya Unguja!
 
Uzuri wa shani ya Mungu ni kuwa hakuna atakaeishi milele. Ni swala la wakati tu ataondoka na kila anachokifanyia jitihada kukimiliki atakiacha hapa hapa duniani.

Na kwa mujibu wa calculator ya maisha ya binadamu ana muda mchache sana wa kuendelea kuwa relevant, aidha umri utashika hatamu na maradhi yake ama umauti kumfikia.
 
Huyu mstaafu!
Ndie aliyeanzisha makubwa katika nchi hii enzi za utawala wake.
sawa,
Sasa ameshikilia Remote na DP-WORLD!
anao ubavu wa kutupelekesha kwa ushirika na "RA". ambaye amerudi kwa kasi ya 5G kwenye awamu hii
Ni kweli
ya mteule wao maushungi!
Hili sii jina la heshima!
Nchi inaelekea kugawanyishwa kwa makundi mawili yenye maslahi tofauti.
Sii kweli, hakuna mgawanyiko wowote ila kuna tofauti za mitizamo which is normal
1-Wapinga mkataba wa DP-WORLD!
Ambao wana maslahi mapana ya upendo kwa nchi yetu Tanganyika.
Naunga mkono
thibitisha!
Yoote hiyo haridhiki nazo na bado anataka mali zaidi!
sii kweli!
Mungu Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813]
Anaeipenda nafsi yake, ataiangamiza, na anayeiangamiza nafsi yake, atainusuru!.
Unaweza kudhani anataka kuliangamiza taifa kumbe ndio analinisuru!.
P
 
 
Conclusion ni moja tu, KUWAJIBISHANA!!

Tusipofika stage ya kuwawajibisha viongozi walafi hatufiki
 
Kumbumbuka hawa wote ni familia moja
1.Mama Mbunge
2.Mtoto waziri
3.Jokate mkuu wa wilaya
4.Mwana FA naibu waziri
5..........
6...........
 
Wenye tatizo la afya ya akili mnazidi kuongezeka kwa kasi ya ajabu.
Mnatia huruma sana[emoji24]
Hivi kwa maakili yenu haya ya uzezeta ndio mnataka mchaguliwe kuongoza taifa hili[emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…