Ushauri: Rais Mstaafu Kikwete, kwa hili la bandari unajiaibisha na kujivua nguo

Ushauri: Rais Mstaafu Kikwete, kwa hili la bandari unajiaibisha na kujivua nguo

Kinana na udalali wake hapa Tanzania vinahusiana nini na waarabu kuchimba Madini DRC na Rwanda? Kama hujui udalali wa Kinana na hawa Masheikh wa Dubai kaa kimya!!
Acha ujinga wako huyo mwarabú anafanya biashara ya uwekezaji huko unakosema kote Duniani kwa contractual terms gani? Ni hizi hizi terms alizosaini Samia na hiyo Kampuni?
Kule ulaya unakosema anafanya kazi kwenye banadari umeona mikataba yao waliosaini hata ukawa unawakingia kifua? Acheni njaa zenu wakati mwingine ni bora kukaa kimya badala ya kuwa ili mradi na wewe uonekane umechangia!
Njaa ni zile za kubakia na akili za kizamani bila ya kujipanga ili uendane na dunia ya kisasa.

Terms ni hizi hizi ambazo tumeingia nao baada ya kusaini mikataba kule Dubai hakuna terms nyingine mkuu Bulesi. Hatuwezi kuishia kwenye mijadala, midahalo isiyokwisha wakati fursa za kuendelea kiuchumi zipo.

Hii ni vita ya kuipambania corridor yetu ya bandari, hatuwezi kujenga SGR kwa trilioni 18 halafu iishie kusafirisha mahindi na mihogo.

Lazima vichwani tubadilike, hii ni dunia katili sana, tukibakia na mawazo ya kizamani tumekwisha mazima.
 
Umofia kwenu.

Wanajamvi,

Nimesikiliza hotuba ya Rais wa awamu ya 4 Mh. Jakaya kikwete akikemea viongozi wa Dini kujihusisha na siasa.
Hotuba ya kikwete inakuja banda ya baraza la maaskofu katoliki Tanzania TEC kutoa waraka wa kupinga uuzwaji wa bandari.

Ni wazi Kikwete alikuja mbele kujibu ule waraka ili kutetea hii serikali iliyofitinika. Najua kikwete anapita Sana hapa jamvini. Nataka nimpe ushauri mdogo tu kuhusiana na hiki anachojaribu kufanya.

Kikwete lazima ajue kwamba, kwa miaka yake 10 ya uongozi wa Taifa letu ndiye rais aliyeboronga zaidi kuliko wote. Huyu ndiye kiongozi ambaye neno ufisadi lilishamiri zaidi kuliko wakati mwingine. Kinachomfanya kikwete mpaka apate nguvu ya kusimama jukwaani ni kiburi tu. Ukweli kikwete ndiye kiongozi anayechukiwa zaidi hapa nchini.

Namsihi Sana kikwete, akae kimyaa km alivyowahi kushauriwa na uv-ccm wakati wa utawala wa mwendazake. Kikwete asifikiri kwamba watanzania bado ni wajinga. Akumbuke kwamba kikwete ndiye kiongozi ambaye kwenye uchaguzi wa 2005 alibeba matumaini makubwa Sana ya watanzania. Lkn tofauti na matarajio ya wengi kikwete AKATUANGUSHA! mwaka 2010 tukamuonyesha Kama tunamchukia kwenye sanduku la kura. Isingekuwa bao la mkono kikwete angeishia awamu moja.

Kikwete km mstaafu aliyechangia kutuharibia hii nchi. Akae atulie alee wajukuu zake ili angalau ile heshima kidogo iliyobaki aibakize. Watanzania hawataki uuzwaji wa bandari. Kitendo cha kikwete kuja front kinathibitisha kwamba hili si jambo Jema hata kidogo.

Tunajua udhaifu wa awamu ya 6. Atuachie watanzania wenyewe tutapambana nao kwenye la bandari na rasirimali zingine za nchi yetu. Nawasilisha.
Chuki binafsi ni kitu mbaya sana.
 
Njaa ni zile za kubakia na akili za kizamani bila ya kujipanga ili uendane na dunia ya kisasa.

Terms ni hizi hizi ambazo tumeingia nao baada ya kusaini mikataba kule Dubai hakuna terms nyingine mkuu Bulesi. Hatuwezi kuishia kwenye mijadala, midahalo isiyokwisha wakati fursa za kuendelea kiuchumi zipo.

Hii ni vita ya kuipambania corridor yetu ya bandari, hatuwezi kujenga SGR kwa trilioni 18 halafu iishie kusafirisha mahindi na mihogo.

Lazima vichwani tubadilike, hii ni dunia katili sana, tukibakia na mawazo ya kizamani tumekwisha mazima.
Mawazo ya kisasa ni kuhakikisha uchumi wetu unakuzwa na wananchi wenyewe na kwamba we do not surrender our sovereignity ; sio akili kumpa mwarabu corridor ya kwenda nchi za jirani wakati kazi hiyo inaweza kufanywa na watu wetu !! Ni lazima kulinda ajira za watu wetu kwa kuweka uchumi wa nchi mikononi mwao! Leo hii ukimpa DpWorld Bandari na corridor ya kwenda nchi jirani ujue kuwa biashara yote ya malori wanayofanya Wananchi kwenda nchi jirani sasa itakufa na wao ndio watafanya logistics hizo na faida kwenda Uarabuni!! Hio sio akili ni uzuzu!! Huwezi kuendeleza nchi kwa kutegemea wageni huo ni upunguani!!
Samia hana uchungu na nchi hii kwa sababu ya uarabu wake; wewe umewahi kuona nywele zake zilivyokuwa singa kama hao wajomba zake wamanga!!!
 
Mawazo ya kisasa ni kuhakikisha uchumi wetu unakuzwa na wananchi wenyewe, sio akili kumpa mwarabu corridor ya kwenda nchi za jirani wakati kazi hiyo inaweza kufanywa na watu wetu !! Ni lazima kulinda ajira za watu wetu kwa kuweka uchumi wa nchi mikononi mwao! Leo hii ukimpa DpWorld Bandari na corridor ya kwenda nchi jirani ujue kuwa biashara yote ya malori wanayofanya Wananchi kwenda nchi jirani sasa itakufa na wao ndio watafanya logistics hizo na faida kwenda Uarabuni!! Hio sio akili ni uzuzu!! Huwezi kuendeleza nchi kwa kutegemea wageni huo ni upunguani!!
Samia hana uchungu na nchi hii kwa sababu ya uarabu wake; wewe umewahi kuona nywele zake zilivyokuwa singa kama hao wajomba zake wamanga!!!
Kuendesha bandari sio sawa na biashara ya kufuga kuku au kuendesha shule mjini, ni biashara kubwa sana inayotutaka tuwe na vigezo vya kisasa ili kuweza kuifanya kimataifa.

Mtaji wetu wa wenye elimu ya kuendesha bandari kisasa ni mdogo sana.

Mtaji wetu wa teknolojia za kisasa ni mdogo sana na hapo hapo unapompa mwekezaji kama DPW unakuwa na uhakika wa kufanya ukarabati mwepesi unaochukua muda mchache kulingana na ambavyo sisi wenyewe kama waendeshaji tungehangaika katika masuala kama hayo.

Pia mwarabu anakwenda kufanya end to end logistics kwa maana ya kuutoa mzigo huko Congo kuuleta bandarini kuupakia melini na kisha kuufikisha huko kwenye soko, haya ni masuala makubwa sana kwenye logistiki ni zaidi ya hizi nadharia zetu za kila siku.
 
Kuendesha bandari sio sawa na biashara ya kufuga kuku au kuendesha shule mjini, ni biashara kubwa sana inayotutaka tuwe na vigezo vya kisasa ili kuweza kuifanya kimataifa.

Mtaji wetu wa wenye elimu ya kuendesha bandari kisasa ni mdogo sana.

Mtaji wetu wa teknolojia za kisasa ni mdogo sana na hapo hapo unapompa mwekezaji kama DPW unakuwa na uhakika wa kufanya ukarabati mwepesi unaochukua muda mchache kulingana na ambavyo sisi wenyewe kama waendeshaji tungehangaika katika masuala kama hayo.

Pia mwarabu anakwenda kufanya end to end logistics kwa maana ya kuutoa mzigo huko Congo kuuleta bandarini kuupakia melini na kisha kuufikisha huko kwenye soko, haya ni masuala makubwa sana kwenye logistiki ni zaidi ya hizi nadharia zetu za kila siku.
Hapo ndio unapoonesha ujinga wako, hao waarabu wa DpWorld kwani hizo kazi wanafanya wao si wanaajiri wataalam kama nasi tunavyoweza kuajiri huku watu wetu wakijifunza kwao? Hiyo technology unayosema is readly available nchi inaweza kununua,
Hiyo unayosema end to end logistics itatuletea umaskini mkubwa kwani makampuni yetu ya Wananchi wanaopeleka mzigo huko Congo yatafilisika na kutakuwa hakuna ajira kwa watu wetu!! Ni bora Kampuni zetu za mizigo zikalindwa kuliko to render them redundant na kuongeza umaskini nchini ; any sane government will protect the interests of its people and not of foreigners. Only short sighted people think like you!
 
Hapo ndio unapoonesha ujinga wako, hao waarabu wa DpWorld kwani hizo kazi wanafanya wao si wanaajiri wataalam kama nasi tunavyoweza kuajiri huku watu wetu wakijifunza kwao? Hiyo technology unayosema is readly available nchi inaweza kununua,
Hiyo unayosema end to end logistics itatuletea umaskini mkubwa kwani makampuni yetu ya Wananchi wanaopeleka mzigo huko Congo yatafilisika na kutakuwa hakuna ajira kwa watu wetu!! Ni bora Kampuni zetu za mizigo zikalindwa kuliko to render them redundant na kuongeza umaskini nchini ; any sane government will protect the interests of its people and not of foreigners. Only short sighted people think like you!
Dua la kuku hili, tusiandikie mate. Mwezi wa kumi tarehe za mwishoni DP World anaanza kazi hapo bandarini.

Kusomesha watu ni mchakato wa miaka na miaka, lakini hakiwezi kuwa ndio kigezo cha sasa hivi cha kukataa uwekezaji mkubwa wenye lengo pana la kuongeza ufanisi pale TPA.

Miaka yote tulikuwa wapi kusomesha hiyo nguvu kazi ili iweze kushindana sokoni?.

Uzawa ni muhimu ukawepo lakini uje ukipita katika njia zake za asili, na sio kutanguliza uchoyo wa kipumbavu kwa kuuita uzawa.
 
Huwezi kumkataa mwekezaji mwenye kumiliki meli 400 kwa kigezo hafifu cha uzawa kwanza.

Huwezi kumkataa mwekezaji mwenye uzoefu mpana wa uendeshaji wa bandari kwa kigezo cha kulinda uwezo wa nguvu kazi ya ndani, hayo ni matatizo yetu sisi wenyewe.
 
Dua la kuku hili, tusiandikie mate. Mwezi wa kumi tarehe za mwishoni DP World anaanza kazi hapo bandarini.

Kusomesha watu ni mchakato wa miaka na miaka, lakini hakiwezi kuwa ndio kigezo cha sasa hivi cha kukataa uwekezaji mkubwa wenye lengo pana la kuongeza ufanisi pale TPA.

Miaka yote tulikuwa wapi kusomesha hiyo nguvu kazi ili iweze kushindana sokoni?.

Uzawa ni muhimu ukawepo lakini uje ukipita katika njia zake za asili, na sio kutanguliza uchoyo wa kipumbavu kwa kuuita uzawa.
Sawa Samia anapuuza Wananchi wanachosema lakini asije akajuta hapo baadae!! Majuto ni mjukuu!
 
Sawa Samia anapuuza Wananchi wanachosema lakini asije akajuta hapo baadae!! Majuto ni mjukuu!
Kama ambavyo wewe unalaani maamuzi ya uwekezaji kuna mamilioni ya wawekezaji wazalendo na wa kigeni wenye kumbariki kwa maamuzi hayo hayo. Na wote wanamuamini Mungu mmoja huyo huyo.
 
Uzuri wa shani ya Mungu ni kuwa hakuna atakaeishi milele. Ni swala la wakati tu ataondoka na kila anachokifanyia jitihada kukimiliki atakiacha hapa hapa duniani.

Na kwa mujibu wa calculator ya maisha ya binadamu ana muda mchache sana wa kuendelea kuwa relevant, aidha umri utashika hatamu na maradhi yake ama umauti kumfikia.
Maneno mazito sana kwa wale wenye mazingatio !! 🙏🙏
 
Naandika k
Umofia kwenu.

Wanajamvi,

Nimesikiliza hotuba ya Rais wa awamu ya 4 Mh. Jakaya kikwete akikemea viongozi wa Dini kujihusisha na siasa.
Hotuba ya kikwete inakuja banda ya baraza la maaskofu katoliki Tanzania TEC kutoa waraka wa kupinga uuzwaji wa bandari.

Ni wazi Kikwete alikuja mbele kujibu ule waraka ili kutetea hii serikali iliyofitinika. Najua kikwete anapita Sana hapa jamvini. Nataka nimpe ushauri mdogo tu kuhusiana na hiki anachojaribu kufanya.

Kikwete lazima ajue kwamba, kwa miaka yake 10 ya uongozi wa Taifa letu ndiye rais aliyeboronga zaidi kuliko wote. Huyu ndiye kiongozi ambaye neno ufisadi lilishamiri zaidi kuliko wakati mwingine. Kinachomfanya kikwete mpaka apate nguvu ya kusimama jukwaani ni kiburi tu. Ukweli kikwete ndiye kiongozi anayechukiwa zaidi hapa nchini.

Namsihi Sana kikwete, akae kimyaa km alivyowahi kushauriwa na uv-ccm wakati wa utawala wa mwendazake. Kikwete asifikiri kwamba watanzania bado ni wajinga. Akumbuke kwamba kikwete ndiye kiongozi ambaye kwenye uchaguzi wa 2005 alibeba matumaini makubwa Sana ya watanzania. Lkn tofauti na matarajio ya wengi kikwete AKATUANGUSHA! mwaka 2010 tukamuonyesha Kama tunamchukia kwenye sanduku la kura. Isingekuwa bao la mkono kikwete angeishia awamu moja.

Kikwete km mstaafu aliyechangia kutuharibia hii nchi. Akae atulie alee wajukuu zake ili angalau ile heshima kidogo iliyobaki aibakize. Watanzania hawataki uuzwaji wa bandari. Kitendo cha kikwete kuja front kinathibitisha kwamba hili si jambo Jema hata kidogo.

Tunajua udhaifu wa awamu ya 6. Atuachie watanzania wenyewe tutapambana nao kwenye la bandari na rasirimali zingine za nchi yetu. Nawasilisha.
wa herufi kubwa:

KIKWETE ASIPOTANGULIA MBELE ZA HAKI TUSAHAU KUPATA RAIS BORA NCHI HII.

ATACHAGULIWA RAIS ANAYEMTII YEYE KWA MASLAHI YAKE.

KWASASA KIKWETE NI KANSA YA NCHI HII.

naongea kwa sauti
 
Umofia kwenu.

Wanajamvi,

Nimesikiliza hotuba ya Rais wa awamu ya 4 Mh. Jakaya kikwete akikemea viongozi wa Dini kujihusisha na siasa.
Hotuba ya kikwete inakuja banda ya baraza la maaskofu katoliki Tanzania TEC kutoa waraka wa kupinga uuzwaji wa bandari.

Ni wazi Kikwete alikuja mbele kujibu ule waraka ili kutetea hii serikali iliyofitinika. Najua kikwete anapita Sana hapa jamvini. Nataka nimpe ushauri mdogo tu kuhusiana na hiki anachojaribu kufanya.

Kikwete lazima ajue kwamba, kwa miaka yake 10 ya uongozi wa Taifa letu ndiye rais aliyeboronga zaidi kuliko wote. Huyu ndiye kiongozi ambaye neno ufisadi lilishamiri zaidi kuliko wakati mwingine. Kinachomfanya kikwete mpaka apate nguvu ya kusimama jukwaani ni kiburi tu. Ukweli kikwete ndiye kiongozi anayechukiwa zaidi hapa nchini.

Namsihi Sana kikwete, akae kimyaa km alivyowahi kushauriwa na uv-ccm wakati wa utawala wa mwendazake. Kikwete asifikiri kwamba watanzania bado ni wajinga. Akumbuke kwamba kikwete ndiye kiongozi ambaye kwenye uchaguzi wa 2005 alibeba matumaini makubwa Sana ya watanzania. Lkn tofauti na matarajio ya wengi kikwete AKATUANGUSHA! mwaka 2010 tukamuonyesha Kama tunamchukia kwenye sanduku la kura. Isingekuwa bao la mkono kikwete angeishia awamu moja.

Kikwete km mstaafu aliyechangia kutuharibia hii nchi. Akae atulie alee wajukuu zake ili angalau ile heshima kidogo iliyobaki aibakize. Watanzania hawataki uuzwaji wa bandari. Kitendo cha kikwete kuja front kinathibitisha kwamba hili si jambo Jema hata kidogo.

Tunajua udhaifu wa awamu ya 6. Atuachie watanzania wenyewe tutapambana nao kwenye la bandari na rasirimali zingine za nchi yetu. Nawasilisha.
Ile kauli pale kanisani, anaijutia sana, imeshusha "P" yake sana..
sometimes bora kukaa kimya tu.
 
Back
Top Bottom