Ushauri: Rais Samia apumzike Urais 2025

Uangalie mastakabali wako wewe kama rais, uangalie mustakabali wa chama chako kilichopo madarakani na mwisho ndio tunaangalia masilahi ya nchi.

Kwamba rais anaweza kufanya kufanya jambo fulani au kutofanya jambo fulani kwa masilahi yake au kwa kuangalia kwanza mustakabali wa chama chake kilicho madarakani.
 
Kwanza niseme wazi Mama ni moja ya Marais bora kabisa kuwai kutokea katika taifa letu. Sijawai kusikia kashifa yeyote ya wizi na ufisadi kutoka kwake, ni Rais mwadilifu kweli kweli.
Mbona unapingana na mada yako mkuu 'technically'.

Tuchukue lipi na tuache lipi?
"...ni moja ya marais bora kabisa..."? Hapana.
 
Mbona mbali sana 2025.

Hata Leo
Nchi inapoteza nafasi ya kwenda mbele, inakalia kusubiri watu wamalize ngwe zao!

Atakayeingia na yeye atapiga kivyake, nchi inarudi nyuma au inasimama, haiendi popote kimaendeleo!

Watu hawajali mradi matumbo yanajaa!
 
Nchi inapoteza nafasi ya kwenda mbele, inakalia kusubiri watu wamalize ngwe zao!

Atakayeingia na yeye atapiga kivyake, nchi inarudi nyuma au inasimama, haiendi popote kimaendeleo!

Watu hawajali mradi matumbo yanajaa!
Nakubaliana na wewe mkuu.

Na atutoendelea kamwe kwa style ya kila raisi anaingia madarakani anakuwa na agenda yake.
 
Mimi ni mlala hoi wewe mlala hio unazijua hizo sababu si uziweke hapa?
 
Nyie waislamu wabaguzi sana nyie ndo mnaleta udini mtu asiambiwe ukweli bila shaka wazanzibar mna lenu
Nani kakwambia mimi muislamu? Harafu acha kuwasingizia waislamu..

Nimefanya observation Rais akiwa muislamu kuna kuwa na chokochoko za kipuuzi na hizi hutoka kwa Wakristo.
 
😂😂😂Huwa wanatumia busara kumkana.Haujawahi kuwaelewa?
 
Apumzikee Tu. Yaani arest kabisa
Rest
 
Kwanza nikupongeze mtoa post, lakini nikukumbushe Jambo moja .

Tanzania tunatatizo la mfumo wa utawala na uongozi ,pengine rais au ma- rais tumekuwa tukipata wazuri tu Ila baada ya mda kidogo wanaanza kuharibiwa na mfumo.

Kuhusu 2025 , nashauri SAMIA SULUHU HASSAN agombee tena na akifanikiwa kushinda aendeleze miradi ya serikali na kukamilisha baadhi ya mambo yatakaoyo kuwa tayari kukamilishwa .

Ndani ya CCM hakuna mtu wa kumuamini Kwamba ata fanya maajabu , hata hivyo bado tunamuona SAMIA ameniahidi Sana kutengamanaisha nchi ukilinganisha na MAGUFULI , Kumbuka KUPOTEA KWA WATU NA KUKUTWA VIROBA VYA MAITI BAHARINI ,KUTEKWA KWA WATU KM MO,MKATORIKI NK ,KUPIGWA RISASI KWA LISSU,KUPOTEA KWA BENI SAANANE,AZOLE GWANDA NK.

Vilevile kumbuka kwa matajiri na wafanya biashara kuporwa pesa za biashara zao mpaka nchi kuwa mahututi kiuchumi hasa "private sector" bila upendeleo naona SAMIA ameirudisha kwenye mstari private sector.

Nasmshauri Rais aendeleze miradi yote ya maana aliyo ikuta na aliyo introduce chini ya uongozi wake . Na awasimamie kwa karibu sana wasaidizi wake ili wasimzidi unanja huku akiangalia kwa makini mambo yanayo lalamikiwa na wananchi.
 
Inshort hawa ccm akili imefika mwisho walete katiba ikiwezekana tuwe na wagombea huru hivi vyama upuuzi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…