BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Ni ushauri na ombi kwa Mh. Rais, ikimfaa awarudishie mishahara watumishi wote mishahara yao iliyoshushwa. Ni vyema ikimfaa alizungumze hili kesho siku ya mei mosi, ili kujenga umoja wa kitaifa na kujali watumishi,
Tunakupenda sana Rais wetu, jemedari Samia Suluhu Hassan.
Tunakupenda sana Rais wetu, jemedari Samia Suluhu Hassan.