Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Nje ya mada kidogo, pia ripoti ya CAG isipelekwe bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wanayofanya sasa,Au waweke kijanitu bunge zima ndani mpaka nje.
Usiwaze ndugu yangu wengi wa waliopo Serikalini/bungeni ni watoto/wajukuu/vinasaba vya walioipigania nchi,baadhi yao kwenye harakati za kudai uhuru na baadhi yao kwenye the kagera war au kwenye nyadhifa kadhaa.Wew na mimi nnan hata tuhoji uzalendo hali ya kuwa wenyew wenye nchi do not mind!Uzalendo upo kwenye kupandishiana posho na mishahara nk sio kwenye rangi za sakafuni ndugu yanguSalaam,Shalom.
Mimi ni Mtanzania mzalendo wa Nchi yangu nzuri Tanzania, naijua thamani ya Bendera ya Taifa LANGU.
Bendera yetu ya Taifa Ina RANGI kuu nne, Bluu, Njano, Kijani na Nyeusi. RANGI hizo za Bendera ya Taifa naziona katika sakafu za ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sitaki kuhoji Uzalendo wa mtoa wazo la kupaka RANGI za Bendera ya Taifa katika sakafu za ndani ya Bunge la JMT, inawezekana, mtoa wazo Hilo alisukumwa na Uzalendo uliopitiliza.
Kwa maoni yangu kama Mtanzania, bendera au RANGI Inatakiwa iwekwe juu, ukutani, au katika nguzo, Si katika sakafu.
Ninashauri yafanyike marekebisho, RANGI hizo ziondolewe chini, ikae red carpet pekee.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏
Kama walikuwa wamepigwa upofu wasilione hili,Usiwaze ndugu yangu wengi wa waliopo Serikalini/bungeni ni watoto/wajukuu/vinasaba vya walioipigania nchi,baadhi yao kwenye harakati za kudai uhuru na baadhi yao kwenye the kagera war au kwenye nyadhifa kadhaa.Wew na mimi nnan hata tuhoji uzalendo hali ya kuwa wenyew wenye nchi do not mind!Uzalendo upo kwenye kupandishiana posho na mishahara nk sio kwenye rangi za sakafuni ndugu yangu
Cha kushangaza HAPANA mbunge hata mmoja aliyewahi stukia jambo Hilo.Ndio kutaka kusema wale mapopoma wa ccm kama kina msukuma wanazisigina rangi za taifa