Ushauri: Rangi za Bendera ya Taifa zifutwe katika sakafu za ndani ya Bunge

Au waweke kijanitu bunge zima ndani mpaka nje.
Kwa wanayofanya sasa,

KIJANI ilifaa sana,

Lakini Kwa kuwa pale ni Kwa wawakilishi wa wananchi wote bila kujali vyama, wafuate rangi za Bendera, waweke red carpet.
 
Usiwaze ndugu yangu wengi wa waliopo Serikalini/bungeni ni watoto/wajukuu/vinasaba vya walioipigania nchi,baadhi yao kwenye harakati za kudai uhuru na baadhi yao kwenye the kagera war au kwenye nyadhifa kadhaa.Wew na mimi nnan hata tuhoji uzalendo hali ya kuwa wenyew wenye nchi do not mind!Uzalendo upo kwenye kupandishiana posho na mishahara nk sio kwenye rangi za sakafuni ndugu yangu
 
Kama walikuwa wamepigwa upofu wasilione hili,

Mungu amempa Rabbon uwezo wa kuwaondolea wingu Hilo machoni!!
 
Ndio kutaka kusema wale mapopoma wa ccm kama kina msukuma wanazisigina rangi za taifa
 
Wabunge acheni kukanyagwa bendera ya nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
 
Na Leo mnapita juu ya Bendera yetu ya Taifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…