Ushauri: Serikali isitishe zoezi la sensa mwakani 2022 ili pesa hizo zitumike kuboresha Sekta ya Kilimo

Ushauri: Serikali isitishe zoezi la sensa mwakani 2022 ili pesa hizo zitumike kuboresha Sekta ya Kilimo

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huu ni ushauri tu,

Suala la sensa limetumika kipindi cha kale kuweza kupeleka huduma eneo husika. Mathalani nchi yetu haina mass internal migration ya watu na ongezeko la watu kwa nchi yetu linachangishwa na factors mbili tu ambazo ni birth rate factors and mutality rate factors tofauti na hapo hakuna.

Huwezi kufanya sensa wakati uchumi unadai uchumi umeanguka, wakati kuna pandemic ya Corona, wakati kuna uhaba wa maji, wakati hauna miundombinu ya afya, barabara, na elimu.

Kuna njia mbadala ya kuchukua takwimu kwa ajili ya maendeleo kwanini tusizitumie hizo?

Gharama za sensa ni zaidi ya Tsh 5000 kwa kila mtu mmoja anayehesabiwa.
 
Hizi shughuli za kitaifa ndio sehemu kubwa ya wenye madaraka kunufaika kwa namna moja au nyengine! Lingekuwepo jembe ingewezekana ku cancel ila kwa bi. mdash sensa itafanyika kama kawaaa 😂😂😂
 
Kazi ya NIDA nini? Kwanini wasitengeneze system watanzania wote wawe wanaingizwa baada tu ya kuzaliwa? Watu wanataka kupiga pesa haswa ya sensa.
 
Hizi shughuli za kitaifa ndio sehemu kubwa ya wenye madaraka kunufaika kwa namna moja au nyengine! Lingekuwepo jembe ingewezekana ku cancel ila kwa bi. mdash sensa itafanyika kama kawaaa 😂😂😂
Umenena, kuna watu wanaturudisha awamu ya nne kijanja, tujikumbushe kwa ufupi
  1. Kilimo kwanza
  2. Tanzania Beyond Tomorrow
  3. Big Results Now
 
Kazi ya NIDA nini? Kwanini wasitengeneze system watanzania wote wawe wanaingizwa baada tu ya kuzaliwa? Watu wanataka kupiga pesa haswa ya sensa.
Ninyi jamaa ni hivi mnajua umuhimu wa sensa tena siyo Tanzania ni kwa dunia nzima?

Na mlivyo misukule wa wanasiasa wakisema wasitishe uchaguzi ili pesa ziboreshe kilimo mtapiga keleleeeee.

Ila kwakuwa sensa hazisaidii kuwapa madaraka hamuoni kabisa umuhimu wake.

Yaani wanasiasa walivyo wapumbavu hata sasa Rais akisema wachague aidha avunje bunge warudi kwenye uchaguzi au atumie pesa kuboresha kilimo, watachagua kurudi kwenye uchaguzi.
 
Umenena, kuna watu wanaturudisha awamu ya nne kijanja, tujikumbushe kwa ufupi
  1. Kilimo kwanza
  2. Tanzania Beyond Tomorrow
  3. Big Results Now
Awamu ya 4 iliyo fortified, tukumbuke remote iko Msoga, TV ipo ikulu!
 
Special kwa maza ako, una elewa maana ya system mpuuzi wewe au mpka uhesabiwe kama mbuzi? Ndiyo tatizo la kuwa mjinga, Marekani umewahi kusikia wanaandaa sensa au kule watu hawahesabiwi? Mpuuzi kweli.
 
Ninyi jamaa ni hivi mnajua umuhimu wa sensa tena siyo Tanzania ni kwa dunia nzima?

Na mlivyo misukule wa wanasiasa wakisema wasitishe uchaguzi ili pesa ziboreshe kilimo mtapiga keleleeeee.

Ila kwakuwa sensa hazisaidii kuwapa madaraka hamuoni kabisa umuhimu wake.

Yaani wanasiasa walivyo wapumbavu hata sasa Rais akisema wachague aidha avunje bunge warudi kwenye uchaguzi au atumie pesa kuboresha kilimo, watachagua kurudi kwenye uchaguzi.
Uendeshaji wa sense kwa tanzania huwa haukizi vigezo vya kuifanya ionekane na manufaa kwa Taifa.
 
Special kwa maza ako, una elewa maana ya system mpuuzi wewe au mpka uhesabiwe kama mbuzi? ndiyo tatizo la kuwa mjinga, Marekani umewahi kusikia wanaandaa sensa au kule watu hawahesabiwi? mpuuzi kweli
Namhurumia mzazi wako kwa kuzaa bwabwa. Halafu mbona kwa Bakheresa siyo kama kwenu?

Ulishawahi kuona watoto wa Bakheresa wamekuwa misukule wa wanasiasa ili washike madaraka kama wewe?
 
Namhurumia mzazi wako kwa kuzaa bwabwa. Halafu mbona kwa Bakheresa siyo kama kwenu?

Ulishawahi kuona watoto wa Bakheresa wamekuwa misukule wa wanasiasa ili washike madaraka kama wewe?
Kwanini sasa maza ako hajaolewa na Bakheresa? basi wewe olewa naye
 
Sensa ni muhimu kwa taifa(nchi).Mimi napendekeza wawatumie wenyeviti wa serikali za mitaa ili kupunguza gharama.kwani kila mwenyekiti wa mtaa anawafahamu watu wake.walimu huwa hawahesabu nyumba zote.mfano 2012 baadhi ya nyumba hazikuhesabiwa.
 
Back
Top Bottom