Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Sijuwi leo nililalia ubavu gani! Nimeamka na wazo hilo hapo juu. Ni baada ya wiki iliyoishia jana kupokea simu nyingi mno za ndugu na rafiki zangu kuomba ushauri na misaada mbalimbali.
Elimu yetu Bado haijabadili mitizamo yetu kuwa kusoma ni kuajiliwa haswa Serikalini na si vinginevyo.
Ufike wakati Sasa Serikali Ione znamna ya kuokoa vijana wetu, wamevurugwa.
Serikali ikioendezwa, itoe nafasi kwa watumishi wake kustaafu Kama wanaona wamechoka kwa sababu yoyote ilee.
Nawasilisha
Elimu yetu Bado haijabadili mitizamo yetu kuwa kusoma ni kuajiliwa haswa Serikalini na si vinginevyo.
Ufike wakati Sasa Serikali Ione znamna ya kuokoa vijana wetu, wamevurugwa.
Serikali ikioendezwa, itoe nafasi kwa watumishi wake kustaafu Kama wanaona wamechoka kwa sababu yoyote ilee.
Nawasilisha