Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Hivi Hanang kuna tembo?
Au mnajisemea tu
Sasa una muuliza swali Kepteni wa ant poaching unit....Hivi Hanang kuna tembo?
Au mnajisemea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Hanang kuna tembo?
Au mnajisemea tu
Sasa una muuliza swali Kepteni wa ant poaching unit....Hivi Hanang kuna tembo?
Au mnajisemea tu
Tarangire national park Iko umbali Gani Kutokea hapo?Hivi Hanang kuna tembo?
Au mnajisemea tu
Tarangire iko karibu na Minjingu, Mdori, Magugu na Babati kwa mbaali.Tarangire national park Iko umbali Gani Kutokea hapo?
Kuna upotoshaji mkubwaSasa una muuliza swali Kepteni wa ant poaching unit....
Basi wasubiri kifo huko hukoKuhamisha nyumba ndugu Si jambo dogo!!
Nadhani wakazi wa mabondeni hapo dar unaona.
Nou Forest na bonde la Yaeda chini huko kunatembo wapo blocked....Mlima Hanang ni control point ya tembo kutoka Kaskazini kwenda kusini...ref watu walio uwawa majuzi hapo Katesh wakipiga selfii na tembo km chache tu kutoka mjini KateshTarangire iko karibu na Minjingu, Mdori, Magugu na Babati kwa mbaali.
Kutoka Tarangire kwenda Mlima Katesh hakuna muunganiko wowote
Maelezo yako yanaeleweka lakini mtu kuja na blaablaa za Tarangire ni uzushi mkubwaNou Forest na bonde la Yaeda chini huko kunatembo wapo blocked....Mlima Hanang ni control point ya tembo kutoka Kaskazini kwenda kusini...ref watu walio uwawa majuzi hapo Katesh wakipiga selfii na tembo km chache tu kutoka mjini Katesh
West of Hanang mountain...Maretadu chini and juu...north Dabili escarpment
Kuna kitu kinaitwa Elephants connectivity....ntakuja kukielezea
Kipaumbele cha CCM ni kutawala mileleSidhani mkuu!
Tunajipanga na uchaguzi,na uchaguzi no gharama sana!
Hatuwezi ingia gharama za kuhamisha makazi ya watu!!
Ndivyo wakubwa wa chama watakavyosema!!
Karibu sanaPoleni sana Mkuu....nakuja huko kuwapa pole ndugu na jamaa pale TFS
Na hakuna tv inayoripoti!!?Imeripotiwa na gazeti la Mwananchi kuwa, April 29, mlima hanang umemeguka tena na maji kufumuka na kuleta mafuriko makubwa tena,
Hivi tukisema, volcano inajiandaa kuripuka tutakuwa tumekosea?
Kwanini wananchi wasihamishwe?
Wajiongeze wa Hanang pekee au wa Milima yote yenye viashiria vya volcano kama Meru na Kilimanjaro?Na hakuna tv inayoripoti!!?
Serikali itakuia imechoshwa majanga ni mengi na haijajiandaa na majanga makunwa kama mafuriko kwasasa!!
Wananchi wasitegemee serikali itakua imeshindwa kutatua KERO zote!
Wajiongeze!!
NAWAZA KWA SAUTI YA PM MAJALIWA
Muleba pia imeripotiwa maporomoko ya udongo na kufikia nyumba Saba,Na hakuna tv inayoripoti!!?
Serikali itakuia imechoshwa majanga ni mengi na haijajiandaa na majanga makunwa kama mafuriko kwasasa!!
Wananchi wasitegemee serikali itakua imeshindwa kutatua KERO zote!
Wajiongeze!!
NAWAZA KWA SAUTI YA PM MAJALIWA