Ushauri: Serikali mrejesheni haraka mwalimu aliyesimamishwa kazi

Ushauri: Serikali mrejesheni haraka mwalimu aliyesimamishwa kazi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
 
Ingekuwa ni mtoto wako usingeharisha hapa, au wewe ndio mkuu unajitekenya mwenyewe. Hatuwezi kuruhusu mateso shuleni hizo zamani mulipokuwa munachapwa ndio mumezalisha makatili kama JPM mumtengeneza wasomi waoga leo kazi yao ni kusifu tu maprofesa wanaojiita chawa. Waache wanafunzi wasome kwa ku relax atakayefaulu ataendelea kurelax atakayefel mitaa itamtesa yeye mwenyewe
 
wewe ndio pimbi kabisa aisee. Yaani unafurahia mtoto kuteswa vile kwani huyo mwanafunzi akifeli wewe mwalimu unapata hasara gani? mbona shule zetu hizi za kishua hakuna adhabu kali na wanafaulu/ hiyo nguvu ya kuchapa na kutoa adhabu waitumie kufundisha wataelewa tu
Hz shule zetu zina watoto wengi sana na watukutu bila fimbo za ziada hawaelewi

Wewe unaweza ukaelewana na watoto 800 kwa kuongea nao kwa mdomo tu
 
Ingekuwa ni mtoto wako usingeharisha hapa, au wewe ndio mkuu unajitekenya mwenyewe. Hatuwezi kuruhusu mateso shuleni hizo zamani mulipokuwa munachapwa ndio mumezalisha makatili kama JPM mumtengeneza wasomi waoga leo kazi yao ni kusifu tu maprofesa wanaojiita chawa. Waache wanafunzi wasome kwa ku relax atakayefaulu ataendelea kurelax atakayefel mitaa itamtesa yeye mwenyewe
Hakuna cha kuwa mtoto wako,
Ile haikuwa adhabu kubwa kihivyo, wala sio stiki nyingi na amepigwa kulingana na umri wake, wala sio adhabu kubwa ile ila kwa kuwa mnapush agenda zenu kwa kisingizio cha haki basi endeleeni,

Mtoto wa kiafya na malezi ya democracy ni vitu viwili tofaut, endelea kufanya wazungu ndio marejeo ya kila jambo.
Mmekuwa watu wa ajabu kwa kufurahia mkiona mtu anaharibika eti kisa haki.

HAKI BILA WAJIBU NI UPUUZ.

timiza wajibu wako kisha dai haki yako,
Je mtoto alitimiza wajibu wake??
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Ni upungufu wa akili kulinganisha kutoa adhabu kwa haki na kueneza ushoga.
Wote tumepitia viboko, lakini si kwa ukatili kama tunavyouona.
Alternative ya kutoa dhabu kiakili na kwa haki si kutetea ushoga.
Inaelekea mtoa hoja mizania ya kufikiri ina kasoro.
 
Hakuna cha kuwa mtoto wako,
Ile haikuwa adhabu kubwa kihivyo, wala sio stiki nyingi na amepigwa kulingana na umri wake, wala sio adhabu kubwa ile ila kwa kuwa mnapush agenda zenu kwa kisingizio cha haki basi endeleeni,

Mtoto wa kiafya na malezi ya democracy ni vitu viwili tofaut, endelea kufanya wazungu ndio marejeo ya kila jambo.
Mmekuwa watu wa ajabu kwa kufurahia mkiona mtu anaharibika eti kisa haki.

HAKI BILA WAJIBU NI UPUUZ.

timiza wajibu wako kisha dai haki yako,
Je mtoto alitimiza wajibu wake??
Nikikuita mpuuzi utasema nimekutukana, ngoja ninyamaze
 
Hz shule zetu zina watoto wengi sana na watukutu bila fimbo za ziada hawaelewi

Wewe unaweza ukaelewana na watoto 800 kwa kuongea nao kwa mdomo tu
kama hawaelewi achana nao utakuja kuua kitoto cha watu ukanyee ndoo bure na ajira unapoteza. Kikubwa wewe ingia darasan fundisha,elekeza kisha kakae sehemu unywe double kick yako taratiiibu
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Kwa kuandika kwako ''mlejesheni'' ni dalili tosha kuwa ulisomeshwa kwa viboko hivyo akili zako zina walakini.
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Hauna hata akili moja nimeacha kusoma ulipoelezea JKT. Yule mtoto yupo JKT. Nawe umeandika uonekane unafikiria zaidi. Jiulize ile adhabu angepewa mtoto wako ungekuja kuandika ujinga kama huu hapa.
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Mwandiko kama mwalimu muhusika!
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Wewe kwanza huna mtoto, pili, hujui kanuni za adhabu zilizoidhinshwa kwahiyo funga bakuli lako.
 
Back
Top Bottom