Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa leo umechemka.Watoto kupewa zawadi ya viboko wanapopotoka,ni haki.Ila haki iendane na sheria na vigezo vya kuchapa i.e maeneo ya kuchapwa,idadi ya viboko,eneo la kuchapwa na kuzingatia umri na afya ya mtoto.Umeeleza kuhusu jeshini au kunginepo,hao ni watu wazima.Halafu jeshini wanaenda watu wazima na sehemu kubwa ni mazoezi na si "adhabu"!Mtoto kupigwa fimbo kwenye nyayo au kukandikwa mangumi,makofi na mateke hovyohovyo unadhani ni sawa?Umeenda mbali hadi kwenye ushoga.Sasa ushoga unaaanzaje kwa mtoto asipopigwa mafimbo kama ng'ombe?🤔🤔🤔🤔🙄🙄Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Selikali itafata ushauli wako na KUMLEJESHA Mala moja 😁Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Nani kakudanganya kwamba adhabu hakuna wewe ndiye pimbi kweli unataka uliwauliza wakambie kwamba adhabu zipo au wewe uwa unashinda hapohapo shule ?Wewe ndio pimbi kabisa aisee. Yaani unafurahia mtoto kuteswa vile kwani huyo mwanafunzi akifeli wewe mwalimu unapata hasara gani? mbona shule zetu hizi za kishua hakuna adhabu kali na wanafaulu/ hiyo nguvu ya kuchapa na kutoa adhabu waitumie kufundisha wataelewa tu
Kwan nia ya mwalimu yyte kumchapa mtoto Huwa ni ipi? Tuanzie hapo kwanzaWewe ndio pimbi kabisa aisee. Yaani unafurahia mtoto kuteswa vile kwani huyo mwanafunzi akifeli wewe mwalimu unapata hasara gani? mbona shule zetu hizi za kishua hakuna adhabu kali na wanafaulu/ hiyo nguvu ya kuchapa na kutoa adhabu waitumie kufundisha wataelewa tu
Hakuna mtu aliyekataa mtoto akikosea asichapwe. Kosa ni mwalimu anamchapa sehemu gani ya mwili kama sheria inavyoelekeza. Mfano wewe mwanao akikosea achapwe hata viboko vya machoni au kwenye ulimi uko tayari kukaa kimya.Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Hivi unajua kama walimu wameandikishwa mkataba wa kufaulisha wanafunzi wote?Ukifelisha kazi huna,na ukuadhibu kazi huna.Na mtoto kumfundisha bila viboko aisee watakutia na vidole.Kuwa mwalimu ktk nchi ya kidemocrasia ndo utajuakama hawaelewi achana nao utakuja kuua kitoto cha watu ukanyee ndoo bure na ajira unapoteza. Kikubwa wewe ingia darasan fundisha,elekeza kisha kakae sehemu unywe double kick yako taratiiibu
Naunga mkono hojaTunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Moja, binafsi namuwaza aliye kuwa anarecord wakati mwalimu mkuu akitekeleza majukumu yake alikuwa na lengo gani?Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.
Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.
Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.
Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.
Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.
Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.
Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!
Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!
Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.
Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.
Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Kweli kabisa, hii kada sio kazi tu, hata mazingira ya kazi ni magumu ukilinganisha na kada nyingine. Nafikiria tu siku za usafi, namna waalimu wanavopigika huki na huko kusimamia hili, kada nyingine, kazi kama hizi zinatolewa tenda, kampuni binafsi zinawaibika. Poleni sana.Ifikie wakati watu wakubali tu ukweli; kazi ya ualimu ni ngumu sana. Na kimsingi walimu wanatakiwa waishi kwa tahadhari kubwa.