Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

Artificial intelligence

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2021
Posts
1,265
Reaction score
2,252
Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini.

Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani.

Kutokana na shughuli za binadamu, mabadiliko ya tabia ya nchi, maji upungua kwa misimu kadhaa kwenye mito hiyo na mabwawa, hivyo kuleta athari na kero kwa wananchi hususani maeneo ya mijini, hivyo kuendelea kuitegemea mito tu ni ukosefu wa fikra na kuwa nyuma kimaendeleo na kiteknolojia katika dunia ya sasa.

Serikali ni lazima ije na mpango (au iboreshe kama upo) wa "Desalination plants" kutoka kwenye maji ya bahari ya hindi, hii itasaidia sana pale maji yanapopungua kwenye mito , serikali kuzitumia kama "water reserves" ili kupambana na tatizo la uhaba wa maji hasa kwa jiji kama Dar es salaam lenye shughuli nyingi na viwanda linalozungukwa na bahari. Kukata maji siku moja tu upelekea athari nyingi sana hasa kwenye shughuli za uzalishaji kama viwandani, hali hiyo upelekea viwanda vingi kupata hasara.

Nchi kama Qatar, Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia akiwa na desalination plant kama vile Ras Al Khair plant ambayo uzalisha 1,036,000m3/day, UAE yenye Taweelah plant inayozalisha 909,200m3/day, ni mifano ya nchi chache duniani zinazotumia hiyo teknolojia.

Tanzania inasubiri nini na wakati imepakana na bahari yenye maji mengi ya kutosha. Ni muda muafaka sasa wa serikali kuja na "project" kama hii, hili tuwe na "reserves" za maji ya kutumia pale nchi inapokabiliwa na uhaba wa maji. Kuendelea kutegemea mito tu kama vile rufiji, wami n.k ni kuwa nyuma kifikra na kukosa mipango madhubuti.

Hivyo bhasi serikali lazima iendane na wakati na mabadiliko ya tabia ya nchi, iache "normalcy bias" lazima iwe na teknolojia na mbinu mbadala za kukabiliana na changamoto kama hizo.

Kumbukeni maji ni uhai na maji hayana mbadala kusema yakikosekana utatafuta kitu kingine kama maji utumie.
 
Tunarukaruka kama panzi, kila mtu na lake!

Je, mkuu, umekwishafanya upembuzi yakinifu na kujiridhisha kwamba njia hiyo ndiyo bora zaidi kuliko kufanya juhudi katika kukusanya maji mengi sana yanayopotea bure wakati mvua zinaponyesha za kutosha, au hata zile ndogo tu?

Siyo sahihi kufuata mifano kama hiyo ya Qatar uliyoitaja, hata kama mazingira yetu ni tofauti sana, kimapato na hata katika mazingira yenyewe.
 
Tunarukaruka kama panzi, kila mtu na lake!

Je, mkuu, umekwishafanya upembuzi yakinifu na kujiridhisha kwamba njia hiyo ndiyo bora zaidi kuliko kufanya juhudi katika kukusanya maji mengi sana yanayopotea bure wakati mvua zinaponyesha za kutosha, au hata zile ndogo tu?

Siyo sahihi kufuata mifano kama hiyo ya Qatar uliyoitaja, hata kama mazingira yetu ni tofauti sana, kimapato na hata katika mazingira yenyewe.
Mvua unyesha kwa misimu, kwahiyo kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, mvua hizo kuna wakati hazinyeshi kabisa kama mwaka huu, je huoni kama itabaki kuwa changamoto.
 
Tunarukaruka kama panzi, kila mtu na lake!

Je, mkuu, umekwishafanya upembuzi yakinifu na kujiridhisha kwamba njia hiyo ndiyo bora zaidi kuliko kufanya juhudi katika kukusanya maji mengi sana yanayopotea bure wakati mvua zinaponyesha za kutosha, au hata zile ndogo tu?

Siyo sahihi kufuata mifano kama hiyo ya Qatar uliyoitaja, hata kama mazingira yetu ni tofauti sana, kimapato na hata katika mazingira yenyewe.
Na kuhusu nchi nilizotolea mfano ni sahihi kinachoshindikana ni nini labda, lazima tujaribu kufanya, kuendelea kutegemea maji ya mvua za misimu ni kuendelea kusimama pale pale tulipo.
 
Tujiulize kwanza swali moja? Je, kuna maji kiasi gani kwasasa ya mito yanaishia baharini?

Yaani maji safi yanaenda baharini tunavyo ongea hivi halafu tuweka plant ya kusafisha maji ya chumvi?

Tatizo la Tanzania ni maji kupotea
 
Na kuhusu nchi nilizotolea mfano ni sahihi kinachoshindikana ni nini labda, lazima tujaribu kufanya, kuendelea kutegemea maji ya mvua za misimu ni kuendelea kusimama pale pale tulipo.
Hizo nchi unazoongelea ni zile zinaweza kununua ndege za kivita za marekani,F-35,Moja kwa dollar bilioni 100.Unapofananisha na Tanzania unakosea. Hiyo technology ni ya gharama kubwa sana.

Ni rahisi kuwekeza kwenye kuvuna maji kuliko hicho unachoshauri.Kumbuka: Tanzania tuna gas Lakini Bado tuna tatizo la nishati,hii inaonyesha kwamba uchumi wetu Bado upo chini!
 
Hizo nchi unazoongelea ni zile zinaweza kununua ndege za kivita za marekani,F-35,Moja kwa dollar bilioni 100.Unapofananisha na Tanzania unakosea.Hiyo technology ni ya gharama kubwa sana.Ni rahisi kuwekeza kwenye kuvuna maji kuliko hicho unachoshauri.Kumbuka: Tanzania tuna gas Lakini Bado tuna tatizo la nishati,hii inaonyesha kwamba uchumi wetu Bado upo chini!
Uko sahihi. Mamitambo anayoyazungumzia huyu mdau hatuyawezi. Badala yake tuwekeze kwenye kuvuna maji ya mvua na matumizi mazuri ya maji kutoka katika maziwa yetu. Tuna maji ya kutosha basi ni uzembe tu, kutokuwa na mipango imara na upigaji
Screenshot_20211118-202122_Chrome.jpg
 
Tujiulize kwanza swali moja? Je, kuna maji kiasi gani kwasasa ya mito yanaishia baharini?

Yaani maji safi yanaenda baharini tunavyo ongea hivi halafu tuweka plant ya kusafisha maji ya chumvi?

Tatizo la Tanzania ni maji kupotea
Hakuna maji yasiyo na chumvi, kinacho tofautisha ni concentration ya chumvi tu, mambo ya kuendelea kutegemea maji ya mito tu, mgao wa maji utaendelea kuongezeka miaka hadi miaka.
 
Hizo nchi unazoongelea ni zile zinaweza kununua ndege za kivita za marekani,F-35,Moja kwa dollar bilioni 100.Unapofananisha na Tanzania unakosea. Hiyo technology ni ya gharama kubwa sana.

Ni rahisi kuwekeza kwenye kuvuna maji kuliko hicho unachoshauri.Kumbuka: Tanzania tuna gas Lakini Bado tuna tatizo la nishati,hii inaonyesha kwamba uchumi wetu Bado upo chini!
Ni kweli ni ya gharama lakini hapa tunazungumzia kitu ambacho kitaenda kufaidisha nchi katika nyanja zote kwa muda endelevu. Nchi imejaa rasilimali hii, serikali inakosaje mipango madhubuti ya kuboresha uchumi, elites walioshika nyadhifa kwa sasa hawawezi kutepeleka popote labda waje wapya wenye mawazo mapya.
 
Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini.

Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani.

Kutokana na shughuli za binadamu, mabadiliko ya tabia ya nchi, maji upungua kwa misimu kadhaa kwenye mito hiyo na mabwawa, hivyo kuleta athari na kero kwa wananchi hususani maeneo ya mijini, hivyo kuendelea kuitegemea mito tu ni ukosefu wa fikra na kuwa nyuma kimaendeleo na kiteknolojia katika dunia ya sasa.

Serikali ni lazima ije na mpango (au iboreshe kama upo) wa "Desalination plants" kutoka kwenye maji ya bahari ya hindi, hii itasaidia sana pale maji yanapopungua kwenye mito , serikali kuzitumia kama "water reserves" ili kupambana na tatizo la uhaba wa maji hasa kwa jiji kama Dar es salaam lenye shughuli nyingi na viwanda linalozungukwa na bahari. Kukata maji siku moja tu upelekea athari nyingi sana hasa kwenye shughuli za uzalishaji kama viwandani, hali hiyo upelekea viwanda vingi kupata hasara.

Nchi kama Qatar, Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia akiwa na desalination plant kama vile Ras Al Khair plant ambayo uzalisha 1,036,000m3/day, UAE yenye Taweelah plant inayozalisha 909,200m3/day, ni mifano ya nchi chache duniani zinazotumia hiyo teknolojia.

Tanzania inasubiri nini na wakati imepakana na bahari yenye maji mengi ya kutosha. Ni muda muafaka sasa wa serikali kuja na "project" kama hii, hili tuwe na "reserves" za maji ya kutumia pale nchi inapokabiliwa na uhaba wa maji. Kuendelea kutegemea mito tu kama vile rufiji, wami n.k ni kuwa nyuma kifikra na kukosa mipango madhubuti.

Hivyo bhasi serikali lazima iendane na wakati na mabadiliko ya tabia ya nchi, iache "normalcy bias" lazima iwe na teknolojia na mbinu mbadala za kukabiliana na changamoto kama hizo.

Kumbukeni maji ni uhai na maji hayana mbadala kusema yakikosekana utatafuta kitu kingine kama maji utumie.
unauhakika Tanzania kuna shida ya maji??? au unakurupuka tu. Tanzania hakuna shida ya maji shida ni viongozi wako wanakupiga
 
unauhakika Tanzania kuna shida ya maji??? au unakurupuka tu. Tanzania hakuna shida ya maji shida ni viongozi wako wanakupiga
Mbona umepaniki, si ni ushauri huu, hakukuwa na haja ya kusema nakurupuka, kama shida ya maji haipo ulitakiwa kuja na hoja kuonyesha kwamba Tanzania hakuna shida ya maji. Shida ya maji ipo ndiyo maana mnapata mgao daily.
 
Mbona umepaniki, si ni ushauri huu, hakukuwa na haja ya kusema nakurupuka, kama shida ya maji haipo ulitakiwa kuja na hoja kuonyesha kwamba Tanzania hakuna shida ya maji. Shida ya maji ipo ndiyo maana mnapata mgao daily.
Viongozi wako Wanakupiga hilo ndio tatizo. Unataka maji ya dukani nani anunue.
 
Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini.

Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani.

Kutokana na shughuli za binadamu, mabadiliko ya tabia ya nchi, maji upungua kwa misimu kadhaa kwenye mito hiyo na mabwawa, hivyo kuleta athari na kero kwa wananchi hususani maeneo ya mijini, hivyo kuendelea kuitegemea mito tu ni ukosefu wa fikra na kuwa nyuma kimaendeleo na kiteknolojia katika dunia ya sasa.

Serikali ni lazima ije na mpango (au iboreshe kama upo) wa "Desalination plants" kutoka kwenye maji ya bahari ya hindi, hii itasaidia sana pale maji yanapopungua kwenye mito , serikali kuzitumia kama "water reserves" ili kupambana na tatizo la uhaba wa maji hasa kwa jiji kama Dar es salaam lenye shughuli nyingi na viwanda linalozungukwa na bahari. Kukata maji siku moja tu upelekea athari nyingi sana hasa kwenye shughuli za uzalishaji kama viwandani, hali hiyo upelekea viwanda vingi kupata hasara.

Nchi kama Qatar, Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia akiwa na desalination plant kama vile Ras Al Khair plant ambayo uzalisha 1,036,000m3/day, UAE yenye Taweelah plant inayozalisha 909,200m3/day, ni mifano ya nchi chache duniani zinazotumia hiyo teknolojia.

Tanzania inasubiri nini na wakati imepakana na bahari yenye maji mengi ya kutosha. Ni muda muafaka sasa wa serikali kuja na "project" kama hii, hili tuwe na "reserves" za maji ya kutumia pale nchi inapokabiliwa na uhaba wa maji. Kuendelea kutegemea mito tu kama vile rufiji, wami n.k ni kuwa nyuma kifikra na kukosa mipango madhubuti.

Hivyo bhasi serikali lazima iendane na wakati na mabadiliko ya tabia ya nchi, iache "normalcy bias" lazima iwe na teknolojia na mbinu mbadala za kukabiliana na changamoto kama hizo.

Kumbukeni maji ni uhai na maji hayana mbadala kusema yakikosekana utatafuta kitu kingine kama maji utumie.
Tanzania haijafikia huko. Ni gharama kubwa zisizokuwa na sababu kuinvest kweny desalination plant.

Kama maji ya Ruvu yangekuwa yanakusanywa kwenye Babwawa wakati wa mvua hili tatizo lisingkuwepo. Vile vile tulitakiwa tuwe na reserve tanks kila kona ya jiji ..... Kama zipo, mimi sijaziona.

Ukienda kwenye nchi kama Botswana au Namibia ambazo ni Majangwa huwezi kuwakuta wanahangaika na maji kama sisi na wala hawajaanza kutumia maji ya bahari!! Walichofanya wakati wa mvua wanahakikisha kuwa mabwawa yanajaa maji ya kutosha ....!!
 
Unataka kufanya Desalination ya maji ya bahari?
Alooo, hivi ingekuwa rahisi hivyo unadhani Egypt angepigizana kelele na Ethiopia kuhusu Nile?
Kwa sasa inaweza kuonekana ni ngumu sana au haiwezekani, Ila tunakoelekea kutokana na mabadiliko ya tabia ya chi ya kila saa, kuna wakati utafika haitakuwepo namna.
 
Tanzania haijafikia huko. Ni gharama kubwa zisizokuwa na sababu kuinvest kweny desalination plant.

Kama maji ya Ruvu yangekuwa yanakusanywa kwenye Babwawa wakati wa mvua hili tatizo lisingkuwepo. Vile vile tulitakiwa tuwe na reserve tank kila kona ya jiji ..... Kama zipo, mimi sijaziona.

Ukionda kwenye nchi kama Botswana au Namibia ambazo ni Majangwa huwezi kuwakuta wanahangaika na maji kama sisi na wala hawajaanza kutumia maji ya bahari!! Walichofanya wakati wa mvua wanahakikisha kuwa mabwawa yanajaa maji ya kutosha ....!!
Hii ndiyo inaitwa argument hongera kwa mawazo yako mazuri, naamini wakiamua kuanza na hili pia ulilolisema hapa, itapunguza kwa kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom