Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

Kwa sasa inaweza kuonekana ni ngumu sana au haiwezekani, Ila tunakoelekea kutokana na mabadiliko ya tabia ya chi ya kila saa, kuna wakati utafika haitakuwepo namna.
Maji ya bahari....inatakiwa kuwa last option kabisa kwa wewe kufikiria.
Kuna Njia nyingi za gharama nafuuu......
Hatujafika huko bado kuwazia kuhusu sea water.
Management tu ya vyanzo vilivyopo tu ni mbovu.
Mfano DAWASA mwaka 2020 alikuwa anazalisha 400k Metre cubic kwa siku....lakini katika hizo non revenue water ilikuwa ni 40% ( kama sijakosea), hapa kuna leakages na Losses zingine ukiwemo wizi.
Kama wangeweza kuzuia hizi, shortage ya water ingepungua.
 
Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini.

Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani.

Kutokana na shughuli za binadamu, mabadiliko ya tabia ya nchi, maji upungua kwa misimu kadhaa kwenye mito hiyo na mabwawa, hivyo kuleta athari na kero kwa wananchi hususani maeneo ya mijini, hivyo kuendelea kuitegemea mito tu ni ukosefu wa fikra na kuwa nyuma kimaendeleo na kiteknolojia katika dunia ya sasa.

Serikali ni lazima ije na mpango (au iboreshe kama upo) wa "Desalination plants" kutoka kwenye maji ya bahari ya hindi, hii itasaidia sana pale maji yanapopungua kwenye mito , serikali kuzitumia kama "water reserves" ili kupambana na tatizo la uhaba wa maji hasa kwa jiji kama Dar es salaam lenye shughuli nyingi na viwanda linalozungukwa na bahari. Kukata maji siku moja tu upelekea athari nyingi sana hasa kwenye shughuli za uzalishaji kama viwandani, hali hiyo upelekea viwanda vingi kupata hasara.

Nchi kama Qatar, Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia akiwa na desalination plant kama vile Ras Al Khair plant ambayo uzalisha 1,036,000m3/day, UAE yenye Taweelah plant inayozalisha 909,200m3/day, ni mifano ya nchi chache duniani zinazotumia hiyo teknolojia.

Tanzania inasubiri nini na wakati imepakana na bahari yenye maji mengi ya kutosha. Ni muda muafaka sasa wa serikali kuja na "project" kama hii, hili tuwe na "reserves" za maji ya kutumia pale nchi inapokabiliwa na uhaba wa maji. Kuendelea kutegemea mito tu kama vile rufiji, wami n.k ni kuwa nyuma kifikra na kukosa mipango madhubuti.

Hivyo bhasi serikali lazima iendane na wakati na mabadiliko ya tabia ya nchi, iache "normalcy bias" lazima iwe na teknolojia na mbinu mbadala za kukabiliana na changamoto kama hizo.

Kumbukeni maji ni uhai na maji hayana mbadala kusema yakikosekana utatafuta kitu kingine kama maji utumie.
Ni ushauri mzuri sana ila nadhani na naamini ni mradi unaohitaji mapesa mengi sana, vinginevyo it is a good idea na itatuondoa kwenye majanga kama haya ya sasa ya migao migao ya maji na umeme.
 
Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini.

Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani.

Kutokana na shughuli za binadamu, mabadiliko ya tabia ya nchi, maji upungua kwa misimu kadhaa kwenye mito hiyo na mabwawa, hivyo kuleta athari na kero kwa wananchi hususani maeneo ya mijini, hivyo kuendelea kuitegemea mito tu ni ukosefu wa fikra na kuwa nyuma kimaendeleo na kiteknolojia katika dunia ya sasa.

Serikali ni lazima ije na mpango (au iboreshe kama upo) wa "Desalination plants" kutoka kwenye maji ya bahari ya hindi, hii itasaidia sana pale maji yanapopungua kwenye mito , serikali kuzitumia kama "water reserves" ili kupambana na tatizo la uhaba wa maji hasa kwa jiji kama Dar es salaam lenye shughuli nyingi na viwanda linalozungukwa na bahari. Kukata maji siku moja tu upelekea athari nyingi sana hasa kwenye shughuli za uzalishaji kama viwandani, hali hiyo upelekea viwanda vingi kupata hasara.

Nchi kama Qatar, Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia akiwa na desalination plant kama vile Ras Al Khair plant ambayo uzalisha 1,036,000m3/day, UAE yenye Taweelah plant inayozalisha 909,200m3/day, ni mifano ya nchi chache duniani zinazotumia hiyo teknolojia.

Tanzania inasubiri nini na wakati imepakana na bahari yenye maji mengi ya kutosha. Ni muda muafaka sasa wa serikali kuja na "project" kama hii, hili tuwe na "reserves" za maji ya kutumia pale nchi inapokabiliwa na uhaba wa maji. Kuendelea kutegemea mito tu kama vile rufiji, wami n.k ni kuwa nyuma kifikra na kukosa mipango madhubuti.

Hivyo bhasi serikali lazima iendane na wakati na mabadiliko ya tabia ya nchi, iache "normalcy bias" lazima iwe na teknolojia na mbinu mbadala za kukabiliana na changamoto kama hizo.

Kumbukeni maji ni uhai na maji hayana mbadala kusema yakikosekana utatafuta kitu kingine kama maji utumie.
Kaka kama kuchimba visima tu hapa dar vimetushinda tunategemea chanzo kimoja tu cha Mto Ruvu, hiyo technologia ya ku-treat maji ya bahari (Desalination ) kwa matumizi ya binadamu tutaweza?

Gharama ya kutengeneza plant kubwa ni $250 millioni sawa na Tshs. Billion 575 na ule mdogo ni $80m ni sawa na Billion 184; Weka gharama hizi vs kuchimba visima vikubwa.

southern-seawater-dessal.ashx
 
Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini.

Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani.

Kutokana na shughuli za binadamu, mabadiliko ya tabia ya nchi, maji upungua kwa misimu kadhaa kwenye mito hiyo na mabwawa, hivyo kuleta athari na kero kwa wananchi hususani maeneo ya mijini, hivyo kuendelea kuitegemea mito tu ni ukosefu wa fikra na kuwa nyuma kimaendeleo na kiteknolojia katika dunia ya sasa.

Serikali ni lazima ije na mpango (au iboreshe kama upo) wa "Desalination plants" kutoka kwenye maji ya bahari ya hindi, hii itasaidia sana pale maji yanapopungua kwenye mito , serikali kuzitumia kama "water reserves" ili kupambana na tatizo la uhaba wa maji hasa kwa jiji kama Dar es salaam lenye shughuli nyingi na viwanda linalozungukwa na bahari. Kukata maji siku moja tu upelekea athari nyingi sana hasa kwenye shughuli za uzalishaji kama viwandani, hali hiyo upelekea viwanda vingi kupata hasara.

Nchi kama Qatar, Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia akiwa na desalination plant kama vile Ras Al Khair plant ambayo uzalisha 1,036,000m3/day, UAE yenye Taweelah plant inayozalisha 909,200m3/day, ni mifano ya nchi chache duniani zinazotumia hiyo teknolojia.

Tanzania inasubiri nini na wakati imepakana na bahari yenye maji mengi ya kutosha. Ni muda muafaka sasa wa serikali kuja na "project" kama hii, hili tuwe na "reserves" za maji ya kutumia pale nchi inapokabiliwa na uhaba wa maji. Kuendelea kutegemea mito tu kama vile rufiji, wami n.k ni kuwa nyuma kifikra na kukosa mipango madhubuti.

Hivyo bhasi serikali lazima iendane na wakati na mabadiliko ya tabia ya nchi, iache "normalcy bias" lazima iwe na teknolojia na mbinu mbadala za kukabiliana na changamoto kama hizo.

Kumbukeni maji ni uhai na maji hayana mbadala kusema yakikosekana utatafuta kitu kingine kama maji utumie.
Desalination plants zitaendeshwa kwa umeme upi?
 
Maji ya bahari....inatakiwa kuwa last option kabisa kwa wewe kufikiria.
Kuna Njia nyingi za gharama nafuuu......
Hatujafika huko bado kuwazia kuhusu sea water.
Management tu ya vyanzo vilivyopo tu ni mbovu.
Mfano DAWASA mwaka 2020 alikuwa anazalisha 400k Metre cubic kwa siku....lakini katika hizo non revenue water ilikuwa ni 40% ( kama sijakosea), hapa kuna leakages na Losses zingine ukiwemo wizi.
Kama wangeweza kuzuia hizi, shortage ya water ingepungua.
Ni kweli changamoto kubwa inaweza kuwa pesa kwa sababu mradi kama huu unaitaji pesa, kama ulivyosema njia nafuu zipo kama hizo za kukusanya maji kwenye mabwawa, kuvuna maji ya mvua, kuzuia hizo leakeges n.k, hizi njia haziwezi kutufanya tuwe na reserves za maji ya uhakika kwahiyo mgao utabaki pale pale. Baada ya kufanya uchanganuzi wa hizo njia ambazo ni nafuu, kwangu mimi hiyo ndiyo nimeona kama last option ya kumaliza tatizo.
 
Ni kweli changamoto kubwa inaweza kuwa pesa kwa sababu mradi kama huu unaitaji pesa, kama ulivyosema njia nafuu zipo kama hizo za kukusanya maji kwenye mabwawa, kuvuna maji ya mvua, kuzuia hizo leakeges n.k, hizi njia haziwezi kutufanya tuwe na reserves za maji ya uhakika kwahiyo mgao utabaki pale pale. Baada ya kufanya uchanganuzi wa hizo njia ambazo ni nafuu, kwangu mimi hiyo ndiyo nimeona kama last option ya kumaliza tatizo.
Ni mtazamo mkuu, lakini Option bora kwangu ni
Maji ya mvua.
Ground water.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Kaka kama kuchimba visima tu hapa dar vimetushinda tunategemea chanzo kimoja tu cha Mto Ruvu, hiyo technologia ya ku-treat maji ya bahari (Desalination ) kwa matumizi ya binadamu tutaweza?

Gharama ya kutengeneza plant kubwa ni $250 millioni sawa na Tshs. Billion 575 na ule mdogo ni $80m ni sawa na Billion 184; Weka gharama hizi vs kuchimba visima vikubwa.

southern-seawater-dessal.ashx
Hilo ni tatizo la serikali. Hivi kweli Tanzania haina uwezo wa kuinvest $250 kwenye mradi?
 
Kaka kama kuchimba visima tu hapa dar vimetushinda tunategemea chanzo kimoja tu cha Mto Ruvu, hiyo technologia ya ku-treat maji ya bahari (Desalination ) kwa matumizi ya binadamu tutaweza?

Gharama ya kutengeneza plant kubwa ni $250 millioni sawa na Tshs. Billion 575 na ule mdogo ni $80m ni sawa na Billion 184; Weka gharama hizi vs kuchimba visima vikubwa.

southern-seawater-dessal.ashx
Umenisaidia sana hasa kufahamu gharama za hiyo mitambo kwani kwenye kuchangia nilisema kuhusu gharama na kwa ufahamu wangu mdogo nilijua hiyo mitambo itakuwa ghali sana! Ni kwa sababu hiyo ndiyo maana wanao imudu ni wale wenye mahela ya mafuta 9wenye petrodollar!), vinginevyo sisi ni shida tu!
 
Mabadiliko ya TabiaNchi yanalikumba karibia Bara zima la Afrika,lakini mbona hapa kwetu ndio mito yote imekauka, mara Wasukuma na mamilioni ya Ng'ombe zao wameanza kulalamikiwa.[emoji848]
Kiukweli mwaka huu hali ni mbaya sana kuhusu suala la maji. Lazima tuwe na mbinu mbadala za kupata reserves za maji ya kutosha kukabiliana na nyakati kama hizi.
 
Umenisaidia sana hasa kufahamu gharama za hiyo mitambo kwani kwenye kuchangia nilisema kuhusu gharama na kwa ufahamu wangu mdogo nilijua hiyo mitambo itakuwa ghali sana! Ni kwa sababu hiyo ndiyo maana wanao imudu ni wale wenye mahela ya mafuta 9wenye petrodollar!), vinginevyo sisi ni shida tu!
Pamoja na gharama za hiyo mitambo, hivi kweli kama taifa kwamba tutashindwa mradi wa billion 575.
 
Pamoja na gharama za hiyo mitambo, hivi kweli kama taifa kwamba tutashindwa mradi wa billion 575.
Na nadhani siyo suala la kushindwa, ni suala la wapanga sera kuamua tufanye nini na tuache nini! Na zaidi hapa kwenye kufanya maamuzi na kuamua, wataongozwa na MATUMBO yao siyo matakwa, mahitaji na shida za wananchi, sisi Watanzania, walipa kodi. Hapa ni suala la uroho na ubinafsi ndiyo tatizo la kufikia maamuzi muhimu kama haya. Bilioni 575/= si pesa nyingi!
 
Hapa umeongea ukweli, ndiyo maana nimeshauri tuachane na normalcy bias,lazima tujifunze kukaa tayari muda wote.
Ni kweli UTAYARI ni mbinu muhimu sana kwenye uongozi lakini siyo kwa viongozi wetu ambao hufanya maamuzi mengi kwa jazba na mihemuko na zaidi zaidi huwa wanangalia maslahi yao binafsi. Hili linatugharimu sana as a country!
 
Back
Top Bottom