Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

Niliwai fuatilia hili DAWASA .Technology ya Israel Gallon Moja la maji(5ltrs) ni garama ya chini kuliko Garama za kuzalisha 1 Gallon toka Ruvu hii ilikuwa 4 yrs back
Kwa sasa kuna watu wanaweza kuona hiki kitu hakina maana, lakini muda ukifika kila mtu ataona, kwenda na mabadiliko ya nyakati ni kitu muhimu kwenye mipango endelevu.
 
Je umefanya research ya gharama ya huo mradi wa desalination?
Hizo nchi ulizotaja zipo jangwani sisi Tz tumezungukwa na fresh water lakes, kaskazini lipo Victoria, magharibi lipo Tanganyika, kusini lipo Nyasa bado kuna moto kibao inatiririsha maji mwaka mzima...
Ishu sio kuwa jangwani, jambo la msingi ni kutumia kila rasimali inayokuzunguka kutatua changamoto zako. Kuna sehemu ni za mkakati zaidi, zinahitaji maji muda wote.
 
israel wana mitambo inadaka hewa na kuzalisha maji safi ya kunywa! na Tanzania kwa kuwa tuna jua karibia mwaka mzima desalination plant inawezekana tena sana!Miaka 4 iliyopita Waisrael walitaka funga plant ya Desalination maeneo ya Seaclif (Naisi DAWASA wana eneo pale la mradi kama huu) Hawa Waisrael Watergen awakupewa ushirikiano unaotakiwa tukaishia enda nao Zanzibar kula Pweza na Ngisi .Bei yao ipo chini kwa Gallon moja la maji kuliko garama za Dawasa za uzalishaji maji toka Ruvu....maana Dawasa wana bei elekezi ya kununua maji toka kwa private company kama ilivyo Umeme na Tanesco.
Kumbe walishataka kuanza mchakato, viongozi wetu wanatukwamisha sana.
 
hawa viongozi wetu kama wanapata muda wa kuperuzi humu Jf . watapata mengi ya kujifunza humu
 
Unajua Costs za kufanya Desalination ?; Hapo baadae technology inavyozidi kukua cost zitapungua....

Nchi za Kiarabu zina energy ya kutupa ndio maana kwao Desalination makes sense..., Kwa kuanzia kila mmoja awe na desturi ya kuvuna mvua kama anaweza
Mkuu, nchi inaagiza ndege za abiria usiku na mchana pamoja hasarazinazoletwa na ATC, kweli serikali ikiamua, itashindwa kununua na kuiendesha hiyo mitambo ya desalination?

Binafsi, nadhani ni suala la priority tu. CCM wanajua kwamba wabongo bado wapo kwenye usingizi wa pono.
 
Nasikia ni very expensive,ila kuna prof nimemsikiliza azam anasema kumbe tuna maji ya kutosha safi chini ya bahari yapo umbali wa 600m kutoka see level.
 
Mambo mazuri na yakutusaidia tunayo, ila tumejaa siasa na ujanjaujanja...
 
Mkuu, nchi inaagiza ndege za abiria usiku na mchana pamoja hasarazinazoletwa na ATC, kweli serikali ikiamua, itashindwa kununua na kuiendesha hiyo mitambo ya desalination?

Binafsi, nadhani ni suala la priority tu. CCM wanajua kwamba wabongo bado wapo kwenye usingizi wa pono.
Shida sio mitambo mpaka sasa mifumo ya desalination haijawa rafiki sana kwa matumizi ya nishati (yaani huenda mbinu nyingine za kupata fresh water kwa Tanzania bado ni cheaper ingawa ni tofauti kwa nchi Kiarabu zenye majangwa na nishati ya kumwaga...

Anyway technology inaendelea kubadilika na costs of energy needed zinaendelea kupungua siku hadi siku..., hio itasaidia dunia sababu fresh water on earth its just 3% ya maji yote
 
Back
Top Bottom