kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 686
Naomba kushauri serikali iondoe kituo cha daladala cha ubungo river side kwani kinasababisha foleni isiyo ya lazima.
Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover.
Kutokea Mwenge kwenda Ubungo hakuna kituo hivyo hakuna shida, shida iko Ubungo riverside ambako kuna vituo viko barabarani. Asubuhi ni shida na jioni ni shida.
Nashauri Serikali iondoe kile kituo ama ikiingize ndani ili kulazimisha daladala kuingia ndani badala ya kushushia watu barabarani.
Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover.
Kutokea Mwenge kwenda Ubungo hakuna kituo hivyo hakuna shida, shida iko Ubungo riverside ambako kuna vituo viko barabarani. Asubuhi ni shida na jioni ni shida.
Nashauri Serikali iondoe kile kituo ama ikiingize ndani ili kulazimisha daladala kuingia ndani badala ya kushushia watu barabarani.