Ushauri: Serikali ondoeni kituo cha daladala cha Ubungo River Side, kinasababisha foleni isiyo ya lazima

Ushauri: Serikali ondoeni kituo cha daladala cha Ubungo River Side, kinasababisha foleni isiyo ya lazima

kaka km

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
1,336
Reaction score
686
Naomba kushauri serikali iondoe kituo cha daladala cha ubungo river side kwani kinasababisha foleni isiyo ya lazima.

Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover.

Kutokea Mwenge kwenda Ubungo hakuna kituo hivyo hakuna shida, shida iko Ubungo riverside ambako kuna vituo viko barabarani. Asubuhi ni shida na jioni ni shida.

Nashauri Serikali iondoe kile kituo ama ikiingize ndani ili kulazimisha daladala kuingia ndani badala ya kushushia watu barabarani.
 
Naomba kushauri serikali iondoe kituo cha daladala cha ubungo river side kwani kinasababisha foleni isiyo ya lazima.

Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover...
Wazo zuri,hata pale mbele kidogo pana Zebra crossing nayo pia ni chanzo cha foleni,wangetakiwa kuweka flyover kama ile ya Buguruni ingesaidia sana...
 
Kwahiyo unataka Makazi yetu yaanze kuvunjwa sio.Kiingie ndani wapi?
 
Naomba kushauri serikali iondoe kituo cha daladala cha ubungo river side kwani kinasababisha foleni isiyo ya lazima.

Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover.

Kutokea Mwenge kwenda Ubungo hakuna kituo hivyo hakuna shida, shida iko Ubungo riverside ambako kuna vituo viko barabarani. Asubuhi ni shida na jioni ni shida.

Nashauri Serikali iondoe kile kituo ama ikiingize ndani ili kulazimisha daladala kuingia ndani badala ya kushushia watu barabarani.
Subiri kwanza mpaka Kafara ya Ajali kubwa na mbaya ikitokea hapo na Kuua kama si Kuchinja Watu sana Kitahamishwa upesi sana tu sawa?
 
Kituo kipanuliwe, Machinga wasogezwe nyuma kidogo. Sio kuwa kituo kifutwe. Hapo abiria ni wengi na machinga wanapata wateja hapo.
 
Back
Top Bottom