wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sasa ndugu kutoka mawasiliano hadi river hakuna kituo popote mpaka sasa abiria wanalazimika kuotea pale songas songas penyewe kumewekwa bango la katazo kuwa hakuna kituo sasa kituo cha river kikihamishwa abiria wataenda kupandia wapi?labda ungesema pale pale kisogezwe kwa ndani ( kule servise road) angalauNaomba kushauri serikali iondoe kituo cha daladala cha ubungo river side kwani kinasababisha foleni isiyo ya lazima.
Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover.
Kutokea Mwenge kwenda Ubungo hakuna kituo hivyo hakuna shida, shida iko Ubungo riverside ambako kuna vituo viko barabarani. Asubuhi ni shida na jioni ni shida.
Nashauri Serikali iondoe kile kituo ama ikiingize ndani ili kulazimisha daladala kuingia ndani badala ya kushushia watu barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app