chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
Nimebehatika kukaa kama sio kuishi sehemu tofauti tofauti duniani.nimeona na kujifunza kadhaa wa kadhaa jinsi serikali nyingine za ulaya ,marekani,na asia zinavyofanya kwa ajili ya wananchi wake.
Maisha yetu ni duni kwa sababu tu ya mipango yetu mibovu ambayo serikali yetu inafanya.Tasafu au aina hii ya mipango haiwezi kuinua maisha ya mtanzania, raia apewe nyavu na sio samaki
kipato cha mtanzania mmoja mmoja ni kidogo sana,kila mtu aliyeajiriwa anafikiria kuiba kuiba kuiba hii sio sawa hivi viongozi hamuoni namna nyingine ya kumuwezesha mwananchi akawa na kipato? kwa nini mpaka leo kima cha chini cha mtanzania ni tsh 350,000/hii pesa inatosha nini kwa mwananchi? Embu tuwe na hofu ya Mungu basi kama mna mawazo ya kufikiria wenza wa viongozi kulipwa kwa nini hamfikiri kuwaongezea wananchi vipato vyao?
Wabunge wanapata s/allowance zaidi ya tsh 300,000/ kwa kikao kimoja ambayo ni pesa ya mshahara wa mtu wa kima cha chini,
Viongozi embu badilikeni hivyo vitasafu vyenu haviwezi inua maisha ya Mtanzania na vilevile tafuteni njia itakayoondoa wizi makazini,watu wanaiba kukidhi mahitaji yao japo wanasiasa wanaiba kwa sababu ya tamaa ya kushindana
Maisha yetu ni duni kwa sababu tu ya mipango yetu mibovu ambayo serikali yetu inafanya.Tasafu au aina hii ya mipango haiwezi kuinua maisha ya mtanzania, raia apewe nyavu na sio samaki
kipato cha mtanzania mmoja mmoja ni kidogo sana,kila mtu aliyeajiriwa anafikiria kuiba kuiba kuiba hii sio sawa hivi viongozi hamuoni namna nyingine ya kumuwezesha mwananchi akawa na kipato? kwa nini mpaka leo kima cha chini cha mtanzania ni tsh 350,000/hii pesa inatosha nini kwa mwananchi? Embu tuwe na hofu ya Mungu basi kama mna mawazo ya kufikiria wenza wa viongozi kulipwa kwa nini hamfikiri kuwaongezea wananchi vipato vyao?
Wabunge wanapata s/allowance zaidi ya tsh 300,000/ kwa kikao kimoja ambayo ni pesa ya mshahara wa mtu wa kima cha chini,
Viongozi embu badilikeni hivyo vitasafu vyenu haviwezi inua maisha ya Mtanzania na vilevile tafuteni njia itakayoondoa wizi makazini,watu wanaiba kukidhi mahitaji yao japo wanasiasa wanaiba kwa sababu ya tamaa ya kushindana