Ushauri: Shafii Dauda asifike kwenye mechi za Simba,kuna siku utapewa kichapo

Ushauri: Shafii Dauda asifike kwenye mechi za Simba,kuna siku utapewa kichapo

Kuwapo kwake Kongo haimaanishi kwamba hajaandika ujumbe huo. Yupo kule kama mwandishi wa habari, si kama mwana Simba. Viongozi ni weledi, hawawezi kumtenga Mtanzania mwenzao ugenini hata kama wanajua akitoka hapo ataandika kuiponda Simba. Ni sawa mwandishi wa habari wa Tanzania Daima kuwapo kwenye msafara wa JPM, hawezi kuzuiwa. Lakini kwa kutokuzuiwa haimaanishi msimamo utabadilika, au waliombeba wanampenda
Kuna mahali umetania kidogo hapo. Mwandishi wa Tanzania Daima aalikwe msafara wa sifa na utukufu wa "malaika mkuu"? Thubutu!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom