Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati.

Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali.

Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja hivyo na kupanga fungu kubwa la maandalizi ambamo humo litapenyezwa fungu la ukarabati.

Hii ndio njia pekee ya kunusuru viwanja hivyo.
 
Sidhani kama wana viwanja nchi nzima labda vya kuzulumu.
 
Back
Top Bottom